Kwani ukiagiza gari, likafanyiwa inspection Japan, likawa na tatizo, huwa linaletwa hivyohivyo bila kurekebishwa au huwa wanarekebisha kule kule kabla ya kulileta bongo?
Isamehe nafsi yako! Kila mtu ni mkosaji, na wapo wanaokosea zaidi ya hapo. Uzuri ni kuwa umeona ulipokosea na umejutia, kitu ambacho chaonesha bado hujapoteza utu wako. Tubu kwa Muumba wako, halafu jipe msamaha mwenyewe! Na next time ukikutana na tukio kama hilo ufanye tofauti na ilivyokuwa...
Wewe nawe learner kweli! Uteute wa K ni maji kwani? Ule ni UTE, sio maji (H2O)! Elasticity yake, thickness na hata feel yake ni tofauti kabisa na maji, hivyo lazima utaona tofauti. Nyie ndo wale msiowaandaa madem zenu nyie, mko ka kuku mwapanda na kushuka! At least kupitia story za JF mtajifunza!
KULA KIMASIHARA TUNDA KWENYE MAJI BEACH
Weekend flan hv niliamua kwenda beach kuyaoga na kupunga upepo. Katika suala la kuogelea huwa niko vizuri sana, hivyo nlikuwa naogelea hadi ndani mbali kabisa mwenyewe bila hata boya. Siku hiyo beach ilikuwa imejaa watoto wa chuo kibao, kila kona wamejaa...
[emoji1][emoji1] Wazee wa grammar bana! What if nlitaka kusema 'all day long'? Halafu, hiyo 'whole day' yako mbona umesahau 'the' mwanzoni hapo? Punguza povu babu! Hiyo code switching tu, acha kuleta mambo ya prescriptivism kwenye hadithi za kula tunda kimasihara! Eboo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.