Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,365
- 33,004
Hii ndiyo sentensi ya muhimu sanaWanasema yakiwa na tatizo yatapelekwa kwenye gereji zao
Tafakari chukua hatua
Hii ndiyo sentensi ya muhimu sanaWanasema yakiwa na tatizo yatapelekwa kwenye gereji zao
Tafakari chukua hatua
Miaka ya nyuma mzee tulikuwa tunatumia brand new cars kitu nyukwaaa unachana nylon mwenyewe ndani ya gari.Hii nchi tunarudi miaka mingi sana nyuma kwa speed ya light.
Kimsingi uchumi umeyumba kinoma hasa kwa mwananchi wa kawaida lakini tuko uchumi wa kati! Watakaomudu brand new cars ninhao hao walioko kwa circle ya meza kuu na wateule wachache.Miaka ya nyuma mzee tulikuwa tunatumia brand new cars kitu nyukwaaa unachana nylon mwenyewe ndani ya gari.
Huoni kama tumefeli sahivi.
Je, tatizo ni uchumi wa watu sahv kuweza miliki magari mapya au
Ova
Kweli kabisaKimsingi uchumi umeyumba kinoma hasa kwa mwananchi wa kawaida lakini tuko uchumi wa kati! Watakaomudu brand new cars ninhao hao walioko kwa circle ya meza kuu na wateule wachache.
Hatari kubwa! Kwa hiyo sasa hivi wameongeza kodi ya maendeleo na kodi ya ujenzi wa reli? Hii miaka 5, ni kuendelea kutumia kwa uangalifu magari tuliyo nayo, siyo kipindi cha kuagiza magari toka nje ya nchi.
Reference Number: 20211092951 Make: TOYOTA Model: FJ CRUISER Body Type: SUV Year of Manufacture: 2016 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 2501 CC & ABOVE Customs Value CIF (USD): 17,635.00 Import Duty (USD): 4,408.75 Excise Duty (USD): 2,204.38 Excise Duty due to Age (USD): 0.00 VAT (USD): 4,474.20 Custom Processing Fee (USD): 105.81 Railway Dev Levy (USD): 264.53 Total Import Taxes (USD): 11,457.66 Total Import Taxes (TSHS): 26,456,418.37 Vehicle Registration Fee (TSHS): 550,000.00 TOTAL TAXES (TSHS): 27,006,418.37
COST YA GARI MPAKA BANDARINI BILA KODI
Toyota FJ Cruiser 2010 for sale - Car Price US$ 24,436>>56,202,800 tsh
tukiwa tunaugulia maumivu hayo ya kodi maumivu mengine yakaribiA tafakari chukua hatua
🤣🤣🤣Wanasema yakiwa na tatizo yatapelekwa kwenye gereji zao
Tafakari chukua hatua
Nchi yetu chochote kinachoanzishwa ujue kinaenda kunufaisha watu binafsi na si nchi, hatuna utendaji kazi wa kusimamia maadili, fikiria polisi usalama barabarani baada ya kuanza kulipisha faini kwa njia ya mfumo wa kieletroniki, watu wa usalama barabarani wanasumbua madreva lazima kila kituo utoe hela usipotoa utasumbuliwa hatari hata kama gari yako haina tatizo.Ngoja tusubili kwanza tuone utratibu utakuwaje na tupate uzoefu. Ukaguzi wa gari huko nje ulikuwa ni utaratibu mzuri zaid kwani gari likishafika bandarini na pengine kodi zote ushalipia TRA ilikuwa ni kuchukua gari yako kupitia Clearing and Forwarding agent ndani ya siku moja au mbili kutoka bandarini na kuondoka.
Wasi wasi wangu ni muda utaakaouchukua kupata gari yako kwa utaratibu huu mpya. Tatizo wa Tz hatupo smart, tuna urasimu , kuzungushana na kujenga mazingira ya kula kwanza kabla ya kutoa huduma stahili. Utaratibu huu unaweza kuwa chanzo cha mapato binafsi ya watu. Utaambiwa gari yako mbovu usipotoa kitu halitasajiliwa Mara lipeleke gereji mara spea flan inahitajika hata kama gari ni nzima kabisa ili utoe pesa wale. Vipuri vyenyewe bei juu
Wazungu wapo smart sana hawapendi kulaumiwa au kuharibu soko lao.
Mara zote ambazo nimeagiza magari sijawahi kuagiza gari bovu. Kabla ya kulinunua likiwa na ubovu wanakwambia shida yake na hapo halijakaguliwa huko. ukilipenda kulichukua likiwa na ubovu huo ni wewe mwenyewe. Na likikaguliwa huko unatumiwa inspection certificate kabla gari halijafika na ukiona certificate imeonyesha kuwa ni zima kabisa hamna fault popote ujue ni kweli 100%.
Sisi wabongo tuna udanganyifu na uhaminifu hakuna.
Nina nusa harufu ya yale yale ya Bakhresa na ngano yake mwaka 1995; yaani niagize gari say from Japan, lifike hapa na lionekane ni bovu, wakati linapelekwa kwenye "garage zao" mimi nawasiliana na walioniuzia gari kwa kuawaambia, "hi guys, mmeniuzia gari bovu" mengine watajuana na serikali wakati mi naramba zangu ice cream za AzamWanasema yakiwa na tatizo yatapelekwa kwenye gereji zao
Tafakari chukua hatua
Huu ndio ukweli haswa kwenye urasimu na wizi, je wamejiuliza kuwa mwanzoni waliamua kukagulia nje kwa sababu gani?Huyu jamaa haelewi hata hoja za wadau ni zipi.
Je, hizo garage zao zitakuwa zinatengeneza hayo magari mabovu bure?
Nani atabeba hizo gharama za matengeneza?
Isitoshe wabongo tunajuana huo ukaguzi lazima utagubikwa na urasimu kibao na wizi wa vifaa tu.
Shida wala siyo mitambo yao waliyoagiza ujerumani!