In short, ndoa ina miaka minne sasa na karibia tunapata mtoto. Tatizo rafiki zake mke wangu wa kike wanapokuja nyumbani hata kama ni wabaya kumzidi mke, mimi nakuwa nawatamani sana ata tunavyoangaliana.
Huu ni ugonjwa au sijui ni nini, mimi sitaki kula vya karibu.
Kwenu wakuu mnishauri niondokane na tabia hii.
Huu ni ugonjwa au sijui ni nini, mimi sitaki kula vya karibu.
Kwenu wakuu mnishauri niondokane na tabia hii.