Recent content by Intellect

  1. Intellect

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

    Leo katika mjadala ulioibuka katika bunge la Katiba kuhusu usawa kijinsia ambapo baadhi ya wajumbe wametaka iwapo mwenyekiti anakua mwanaume basi makamu wake awe mwanamke ambacho kimeonekana kukiuka kanuni za kisheria kutokana na "determining factor" kuwa ni utanganyika au uzanzibari. Katika...
  2. Intellect

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Uruguay José Mujica, ndiye Rais anayeishi maisha duni kuliko wote duniani

    Ni Raisi Jose Mujica wa Uruguay. Hutoa 90% ya mshahara wake kwa wasiojiweza, kitu pekee cha thamani anacho miliki ni Volkswagen Beetle, hana akaunti ya benki wala madeni, yeye na mkewe wanakaa kijijini Montevideo. Ameweka rekodi ya kuwa na serikali isiyo na rushwa. Kikubwa zaidi anafurahia...
  3. Intellect

    JamiiForums Tanzania Six Key Interview Answers Employers Need to Hear

    How is this going to be useful while you Orestes Sotta and your fellow Recruiters are Selling such vacancies and couching the interviewees of your choice?
  4. Intellect

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya kaunda ililenga nini hasa?

    Mimi sidhani kama ile speech ina element za chuki ndani yake rather ilikua inakumbusha the reality of the struggles against the Apartheid Regime na kuwaweka "Boers" at their place considering the fact that some of the people who identified themselves as "Boers" attended the burial (De Clerk na...
  5. Intellect

    JamiiForums Tanzania Lady JD chali, Watu Wanacheza bila Kukunja Goti...

  6. Intellect

    JamiiForums Tanzania Maswali na Majibu Press Conference ya Obama Kikwete:

    Mtu wa Shamba, hebu jaribu kusoma hii link kisha usiwe na hiana kufuta usemi ikibidi lakini U.S. and Britain Alliance: U.S. Foreign Policy and the Anglo-American Special Relationship
  7. Intellect

    JamiiForums Tanzania Maswali na Majibu Press Conference ya Obama Kikwete:

    Mwanaukweli, hebu jaribu kusoma hii link halafu usione tabu kufuta usemi ikibidi! http://www.heritage.org/research/reports/2013/07/britain-and-the-us-two-peoples-united-by-an-attachment-to-self-determination
  8. Intellect

    JamiiForums Tanzania Maswali na Majibu Press Conference ya Obama Kikwete:

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, hii phrase haina makosa "peoples" ni neno linalojumuisha kundi la watu na katika statement JK alikua ana refer Uma wa watz na wamarekani kwa ujumla! Usijaribu kupotosha!
  9. Intellect

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete - Baba wa Katiba Mpya

    Mtikila au Nyalali
  10. Intellect

    JamiiForums Tanzania Mkosamali on fire in the Parliament

    'On fire' a figure of speech meaning, 'doing very well'
  11. Intellect

    JamiiForums Tanzania Mkosamali on fire in the Parliament

    'On fire' is a figure of speech meaning that he 'is doing very well'!
  12. Intellect

    JamiiForums Tanzania Mkosamali on fire in the Parliament

    Tanzanian govt fails to collect a half of the telecommunication revenues that Rwanda collects and the total population of Rwanda resembles that of Tanzania's Vodacom subscribers -Mkosamali (MP)
  13. Intellect

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

    Watu kumi wakiwemo askari wa jeshi la polisi katika pwani ya Kenya, Mombasa ni miongoni mwa watu walioripotiwa kuuwawa katika machafuko yaliozuka jana jumapili tarehe 3 march 2013. Taarifa kutoka vyombo vya dola zinasema kuwa vurugu hizo zimesababishwa na genge la wahuni. Hii imetokea siku...
  14. Intellect

    JamiiForums Tanzania Mtwara kumekucha! Ujumbe katika mabango kuhusu gesi...Vipi Bagamoyo?

    Ukiwa umetembelea upande huo wa tanzania utajua ni kiasi gani Kusini-mashariki kumesahaulika! Bandari ya mtwara ndio bandari pekee yenye kina cha asili ukanda wote wa africa mashariki, zao la korosho ni la pili katika kuchangia pato la taifa kwa upande wa kilimo, hifadhi ya selous ni ya...
  15. Intellect

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Breivik Declared Sane

    A panel of 5 judges declares Anders Behring Breivik, a Norwegian accused mass murderer, terrorist and the confessed perpetrator of the 2011 attacks in Norway has been declared sane on the verdict of his controversial law suit!
Back
Top Bottom