Fradrick mkahe
Senior Member
- May 28, 2013
- 122
- 20
Hongera Rais wetu.
Hii hongera kwa JK ni ya kinafiki. Yeye na watu wake hawakuwa radhi kuandika katiba mpya, lakini wananchi waliposhinikiza, ilibidi asalimu amri. Huyo ni mateka na wala sio shujaa. Hongera za dhati ya kuandika katiba inastahili kwenda kwa wananchi. Ni budi tuelekeze sifa kwa anaestahili sio sifa za kinafiki.
Pongezi kwa Mkuu wa Nchi aliyekubali kusikia kilio cha watu wke, kwani angekataa mngefanya nn? hatakama kungekuwa na maafa lkn kakataa, lkn huyu anastahili pongezi nyingi sana kwa katiba nzuri ijayo.hongera vyama vya upinzan,taasisi za kijamii na haki za bnadamu kwa kuwapresha serikali ya sasa kuandaa katiba mpya bila nyie isingeandaliwa