Mkosamali on fire in the Parliament

Mkosamali on fire in the Parliament

na wewe kwa kuponda watu! Hivi wewe unanini hapa Tanzania? Una elimu gani wewe?kule thread uliniponda sana,niliporudi na kukupin dawn kwa hoja ukasepa.mkosa mali hata kama kaondoka law school kuna tatizo gani? Elimu haina mwisho atarudi kumalizia cha msingi uzima. Umekaa kimajungu sana kijana.[/ment]

i quote your statement in one f the threads here in this forum, " mimi bado mwanafunzi katika mambo ya siasa, nahitaji kujifunza toka kwenu wakongwe" sina mda wa kuargue na watu immature kama wewe mnaokiri udhaifu waziwazi.kakojoe ulale, huna hoja..wewe unajua nini except kukariri tu mambo,
 
aa
kawaida ya wapiga tarataraa wengi vilaza, shule ilikua ngumu akaona bora aendeleze kipaji chake cha porojo

wewe nani amekukataza kwenda kupinga hiyo taratara na porojo, au huko uliko umeleta manufaa gani kwa nchii hii, wivu wakike unakusumbua kwa mujibu wa ben mkapa!
 
the fact is kakimbia shule, haya nyie mnaojua zaidi na mje na evidence to contradict my allegation otherwise muache kuharisha, bila kua na facts to counter argue mine.
 
Yani mmekutana wote ni watoto wa MULONGO.

Ha ha ha Kibanga bwana! Nilijua tu jamaa yangu uliomeza kakamusi ka kiingereza ungetupia jambo hapa! Huwa unanipa maisha kwa kudhungu chako bhana!....ngoja waje wataalam wa majina ya watu sijui kama watakuacha kwa "Mulongo" watakwambia ni "Hamim" au "Mulugo!"
 
Hapa tanzania makampuni ya simu yamefanya kuwa shamba la bibi.VODACOM hawalipi kodi stahiki unategemea nini
Nisingejali kama yangekuwa hayatuibii. Tunaibiwa halafu hawalipi kodi! TCRA na TRA wanapaswa kuingilia
 
the fact is kakimbia shule, haya nyie mnaojua zaidi na mje na evidence to contradict my allegation otherwise muache kuharisha, bila kua na facts to counter argue mine.
we ni mwehu tofautisha kukimbia na kuahirisha masomo, usituhamishe kwenye mada bana nyambaf.
 
Huwezi kufikiri kwa kiswahili ukaandika/na kuongea kiingereza kizuri...vilevile huwezi kufikiri kwa kiingereza ukaandika/na kuongea kiswahili kizuri.

Tujifunze kufikiri kwa lugha tunazozijua zaidi, ili tuweze kuandika/na kuongea vitu na kuwakilisha mada vizuri na kueleweka wakuu wa JF.

Lakini napenda kumpongeza Mkosamali ni kijana shupavu na anaona mbali, kwa mfano hii hoja yake ina mashiko sana ukizingatia ukweli kuhusu makusanyo ya kodi katika mashirika ya simu Tanzania, ni ujambazi wa mchana. Mashirika haya aidha hayalipi kabisa kodi au wakusanya kodi wetu wamechukulia makusanyo kutoka mashirika haya kama vyanzo vyao vya mapato kwajili ya familia zao. Kwa nchi za wenzetu mashirika ya simu ni moja wapo ya vyanzo vikubwa na vya uhakika katika kutunisha mapato ya nchi (kwa kulipa kodi ambayo inaenda moja kwa moja, kwa mfano nimekuwepo marekani mwaka jana, ambapo kila nikiweka dola thelathini, nilikuwa nalipa dola moja na senti themanini moja kwa moja bila kupitia sijui kwa nani na nani).
 
unategemea nini wakati pesa za vodacom ndio zinatumika kununua waandishi wa habari na kupiga kampeni kwenye makanisa na misikiti
 
Hivi mmiliki wa Vodacom ni nani vile? Kama ni yule RfA /f unataraji nini wakati ni mfadhili mkuu wa 'wao m' Nakumbuka yule aliyekuwa makamu wa hicho chama alipokosolewa kuwa mjumbe wa bodi ya Vodacom akiwa ni microfoni (kinyume) aliai kuwa wote wanaopinga wana wivu wa wa ki-Hawa. Nchi hii mtoaji kodi ni mlalahoi na tajiri anasamehewa. Ni mawazo yangu tu msitafute kunitoa jicho kwa risasi.
 
Sio kosa lako akili zako zimekimbilia kwenye makalio

Inaonekana makalio ni sehemu nyeti sana mkuu inayokuweka mjini, maana hata avatar yako inajielezea yenyewe
 
Rais wa Rwanda Kagame, Si aliwahi kuiomba bandari ya Dar Es salaam aiendeshe kwani inaweza kuza uchumi wa Tanzania na nchi yake kwa pamoja??
 
Sasa hoja hata haijadiliwi, tumekaa kujifunza kingereza. duh!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom