Recent content by Insurgent

  1. Insurgent

    Malawi, Tanzania fail to agree on Lake Nyasa border dispute

    Huko UN Malawi inapotaka kwenda, Kwanzaa warudishe Israel kwenye mipaka yake halafu ndio wajadili yetu. Wakoloni na Malawi ni walewale. Kama nchi hii ilifanya biashara na makaburu wakati wanatubagua unategemea watafikia muafaka na sisi? Ziwa ni muhimu kwa watu wetu zaidi ya Golan heights kwa...
  2. Insurgent

    Eti Mbunge wa Kilwa nae ameunga mkono budget: Angalia shule za kwao za enzi za mawe

    Tunajadili bajeti au propaganda za picha?
  3. Insurgent

    Mbowe ajibu tuhuma dhidi yake juu ya matumizi ya gari la KUB.

    Kichwa cha kudanganya wananchi: Mbowe Ajibu Tuhuma... WTF?!!!! Kichwa kinachofaa: Mbowe achemsha na kubwabwaja baada ya kudanganya Umma
  4. Insurgent

    Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?

    Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi? Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni) Jadili.
  5. Insurgent

    Kipanya leo: Uchaguzi Kati ya DHAIFU na DIKTETA, watu wanachagua DIKTETA

    Kipanya ameonyesha vizuri jinsi WATZ tulivyo wajinga. Udikteta tunaujua kweli?! Au tunaona demokrasia ghali?
  6. Insurgent

    Mbowe ajibu tuhuma dhidi yake juu ya matumizi ya gari la KUB.

    Huyu DJ ni msanii mwingine. Kama ulikataa gari mwanzo na kwa mbwembwe ili upate umaarufu wa kitoto kwa wananchi mbona ulipolichukua hujachukua kwa mbwembwe hizo hizo. Hawa viongozi wa CHADEMA ni wasanii, wameweza kupiga wananchi mchanga wa macho kwa kutumia midomo yao na vimisemo vya kuvuta...
  7. Insurgent

    NAPE awaonya CHACHAMUDA, Maroli ya CCM yapo tayari kubeba watu!

    Uongo wa kitoto, aende akatunge riwaya huko. Huyu bado anakumbuka usafiri wa wale wazungu wao maVIP.
  8. Insurgent

    CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

    TRA wamtembelee huyu. Dola elfu ishirini x miaka 3 = 720,000usd Sasa alilipia kodi? Atakaa sawa.
  9. Insurgent

    CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

    TRA wamtembelee huyu. Dola elfu ishirini x miaka 3 = 720,000usd Sasa alilipia kodi? Atakaa sawa.
  10. Insurgent

    Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

    Hii ni hoja muhimu kwanini imetupwa huku?
  11. Insurgent

    Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

    Kuna dharau kuhusu malalamiko ya Waislamu katika hili. Soma uelewe kabla ya kutupa matusi. - Wanafunzi walifanya mitihani - Mitihani yao ilisahihishwa na walimu wa kiislamu hivyo walijua wastani ya waliopasi - Matokeo yaliyowekwa kwenye "database" yalikuwa tofauti na alama za kwenye karatasi...
  12. Insurgent

    Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

    Kuna dharau kuhusu malalamiko ya Waislamu katika hili. Soma uelewe kabla ya kutupa matusi. - Wanafunzi walifanya mitihani - Mitihani yao ilisahihishwa na walimu wa kiislamu hivyo walijua wastani ya waliopasi - Matoleo yaliyowekwa kwenye "database" yalikuwa tofauti na yale kwenye karatasi
  13. Insurgent

    Bilioni 8, na milioni 500 ya dhamana kwa Iddi simba

    Enzi za mwalimu alikuwa mkurugenzi wa State Motor Corporation. Kifupi ukitaka kununua gari unapitia kwake kupata kibali. Kibali kununua gari kilikuwa kama kibali cha kumiliki bastola. Kupata kibali tu pamoja na kwamba hela ni zako ilikuwa mbinde.
  14. Insurgent

    Kuanguka kwa CCM: Kutimilika kwa Unabii...

    Ndoto ya Mafisi wanaokesha wakisubiri mkono uanguke. CHADEMA si malaika lakini wanajua kuupepeta mdomo. Tanzania si kichwa cha mwendawazimu.
  15. Insurgent

    Maxence Melo [JF Founder] HEARTFELT CONGRATULATIONS to you

    Double Happy Birthday! May God grant you wisdom for years to come.
Back
Top Bottom