Alikuwa shupavu mno,japo aliumwa lakini alituwazia sisi watanzania[emoji1545]
Nitasimulia mema ya Rais wangu Magufuli Hadi kwa vitukuu vyangu Mungu akinipa uhai
Maswali niloyakuta ( ninayo yakumbuka)
1) techniques za kujua kuwa kuna leakage kwenye pipes
2) Causes of irregular water table
3) Functions of water reservoirs
4)vitu gani vya kuangalia kabla hujatreat waste water
Hope itawasaidia ambao wataitwa kwenye interview huko badaye Kama water technician!
Madam yako unashauri wasioe Malaya au mwanamke anayeishi mwenyewe? Stop contacting your self,,Yani kaka una stress kinyama[emoji23][emoji23]kunywa maji kwanza upoe,,acha kuhangaika na sisi vibibi wa jf badala yake piga kazi umridhishe mkeo bikra[emoji23][emoji23] #stressmbaya
Mbona umepanic? Halafu mwanamke anayejiamini na kujielewa hawezi kubali kuolewa na pwangu Kama wewe! Umasikini ndo unaokuchanganya,you can't handle an educated and successful woman ndo Mana hasira zako unamalizia kwa wanawake wenye uwezo! Nenda katafute hela Kaka upunguze stress [emoji23][emoji23]
Habari wakuu!
Guys kwa yeyote aliwahi kufanya interview ya written kwenye mashirika ya DAWASCO( DAWASA,MTUWASA etc) Kama Water Technician naomba ashee maswali ambayo alikutana nayo!
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.