4.0 Mkuundo nachomaanisha mkuu
Asante mkuu kwa maelezo yalio tukukaRequirements inategemea na chuo (angalia websites huko utaona)
Kazi zipo nyingi sana kutegemeana na uhitaji na structure ya kampuni.
1 Unaweza kujiingiza kwenye mambo ya afya, usalama, mazingira na quality assurance (utahitaji kozi fupi fupi kukuweka sawa kulingana na aina ya ofisi/kampuni itakayokuajiri)
2 unaweza kuwa consultant wa mambo ya mazingira (audits, impacts assessments na specific jobs). Sheria za kimataifa zinataka uchunguzi wa athari za mazingira ufanyike kila kunapokuwa na mabadiliko ya projects. Kuna issues kama kusafirisha sumu na mizigo hatarishi, disposal ya vitu mbali mbali kama asbestos na sumu etc
3 hii ni virgin kabisa. Kuna uhitaji mkubwa wa kusafisha majiji yetu. Unaweza kujikita kwenye kutafuta suluhisho la jinsi ya kupunguza athari za mazingira kutokana na maisha tunayoishi.
Mwisho wa kufikiri kwako ndio zinapoishia kazi za waliosoma kozi hii.
Kila la kheri
Requirements inategemea na chuo (angalia websites huko utaona)
Kazi zipo nyingi sana kutegemeana na uhitaji na structure ya kampuni.aliyesoma combination gani ndo anaweza akachukua hii kozivmkuu?
1 Unaweza kujiingiza kwenye mambo ya afya, usalama, mazingira na quality assurance (utahitaji kozi fupi fupi kukuweka sawa kulingana na aina ya ofisi/kampuni itakayokuajiri)
2 unaweza kuwa consultant wa mambo ya mazingira (audits, impacts assessments na specific jobs). Sheria za kimataifa zinataka uchunguzi wa athari za mazingira ufanyike kila kunapokuwa na mabadiliko ya projects. Kuna issues kama kusafirisha sumu na mizigo hatarishi, disposal ya vitu mbali mbali kama asbestos na sumu etc
3 hii ni virgin kabisa. Kuna uhitaji mkubwa wa kusafisha majiji yetu. Unaweza kujikita kwenye kutafuta suluhisho la jinsi ya kupunguza athari za mazingira kutokana na maisha tunayoishi.
Mwisho wa kufikiri kwako ndio zinapoishia kazi za waliosoma kozi hii.
Kila la kheri
Unataka kufahamu nini juu ya Environmental Engineering?Habari,Ulifanikiwa kwenda mkuu?