Afya n bola kwasababu ajila zake at least n uhakika tofauti na mekaniko injinialing..... Ila afya n very costful n galama so utani hasa ukiwa unaji sponsor mwenyewe akili kumkichwa kama uko vizuli kifeza kalibu afyani
Waliosema kila kitu na mahala pake hawakukosea id ni kitambulisho cha mtu katika eneo husika........ Hivi itakuaje daktari aamue kutembea na koti lake kila maali injinia na ovaloli yake cjuh nahisi unapata maana yangu haileti picha nzuli na inaonekana n ulimbukeni
International languages and not kiswaili which no matter how much ill be an expert on it wont take me anywhere..................
Mm bwana cjuh nilizaliwa naijua hii luga
Hahahah huyu jamaa bhn binadamu hana uwezo wa kumlaani binadamu mwenzake hiyo sio laana ni ugumu tuu wa maisha we ondoa hiyo fikra ya kulaaniwa af kaza moyo konde piga kazi kwa malengo utafanikiwa
Achana na imani potofu hizo
Ukivaa itakutambulisha ka we n mwanafynz wa ud asa kama wewe unataka kila unakopita watu wajue amepita jamaa wa ud basi vaa tuuu............ Usipovaa unaonekana laia wa kawaida
Cdhan kama kuna system ya kuludia somo moja nahisi haipo thoigh cna uhakika sana fuatilia
Ila mkuu umeamua kuludia mwaka palefu kama unataka kua doc kwann usiende c. O
Anhaaaaaaa kama ni hivyo huez kua doc wala hivyo bila physics kama unaweza na uko willing kuludia jalibu........... Hakuna kitu laa kama kuishi ndoto zako kusoma kitu ulichotegemea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.