Innocenthezron
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 393
- 472
Hahahah huyu jamaa bhn binadamu hana uwezo wa kumlaani binadamu mwenzake hiyo sio laana ni ugumu tuu wa maisha we ondoa hiyo fikra ya kulaaniwa af kaza moyo konde piga kazi kwa malengo utafanikiwaKaka huyo Mzanzibari hahusiki kwa namna yoyte na maisha yako. Pambana mkuu.
Mimi laana za aina hiyo nishazipata kwa wanawake zaidi ya watano. Kuna niliyemzalisha, na mwingine nlipiga mimba afu nkalazmisha atoe. Na nlifikia hadi kuongea na wazee wake.. Na maisha yangu yanasonga vizuri tu. Kaka pambana pambana pambana. Halafu ukishakua na mentality hiyo basi jua hutafanikiwa kweli. Achana naye, yeye siye anayetoa riziki bana. Yeye mwenyewe anamtegemea Mungu tu, atawezaje kuzuia riziki zake kwa laana za kijinga? Kwanz hukuoa. Kwahyo mlikua mnafanya makosa wote, sasa iweje mfanye makosa wote afu uadhibiwe wewe peke yako??!
Achana nae, songa mbele mkuu, yeye hahusiki kabisa hapo acha kupoteza muda
Achana na imani potofu hizo