Recent content by Innocent Kirumbuyo

  1. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Ukinipa buku nikuzalishie 100000 Kwa wiki ni rahisi Sana Ukinipa buku naenda kununua vocha ya 1000 cha kwanza naweka kwenye simu naunga bando langu 1000 napata kama MB 400 naingia mtandao wa kijamii Mimi uwa nauza vitabu online natafuta kavaa za vitabu nzuri naweka maneno mazuri napost uhakika...
  2. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Yu wapi meya mstafu wa ilemela na mmiliki wa magnam hotel pale kirumba Mza ?

    Jamaa alikuwa anaitwa matata kweli alikuwa mtata sana na yule aliyepigwa mawe kule kisesa walikuwa jeuri
  3. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Mtambiko ni Ibada kama Ibada nyingine na ndio Ibada ya kweli halisi Faida yake inakuunganisha na asili yako inakulinda na kukupa mafanikio Kikubwa zaidi ukienda kanisani au msikitini kuomba chochote Kujibiwa ni pole pole sana au usijibiwe kabisa Ila kwenye tambiko ukifanya vema inavyopaswa...
  4. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Kweli sodoma walitaka kupita na malaika wa bwana
  5. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Mila za jadi na mizmu ya ukoo

    Siwezi kuacha kufanya tambiko ata siku moja lazima kila wakati niongee na wazee wangu wananifariji sana
  6. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Niambie boss
  7. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Video: Penzi la Poshy lamuingiza Harmonize Kanisani

    Aliingia na kajala akajiita Robert
  8. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Wanachofanyiwa wamasai siyo sawa

    Zanzibar ndio nini koloni letu ilo
  9. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Wanachofanyiwa wamasai siyo sawa

    Juzi niliona video wamasai wakizozana na watu wanaosemekana ni polisi huko Zanzibar mwisho wa siku ilitokea kutokuelewana wakaanza kushambuliana Baada ya ile video viongozi wakachukuwa hatua Hapo ndio inadhiirisha tunaongoza na viongoz wenye akili ndogo na mihemko mingi wakurupukaji...
  10. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

    Hapa tabata bima mvua inapiga siyo ya mchezo
  11. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri nina mtaji wa laki tano nifanye biashara gani?

    Tafuta eneo zuri kwa biashara ya viatu vya kike na kiume Kisha safiri hadi mwanza mtaa ya Lumumba kuna maduka mengi ya jumla ya viatu ya kike na kiume na wanauza kwa bei ndogo sana fika pale chagua viatu vizuri nenda zako shinyanga kapige kazi ukichukuwa mzigo wa laki 3 mkubwa kabisa
  12. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Harmo usije logwa kulazimisha game kwa Posh

    Mwanangu demu mnywa safari kuna cha kulazimisha hapo utakuwa umelogwa
  13. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Watu waanza kurudi kwenye majumba yao Gaza ya kaskazini huku majeshi ya Israel yakiondoka kwa kasi.

    Uongo watarudi sehemu hakuna umeme na maji
  14. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

    Usiku mzito wako na mapanga utaka polisi wawachekee polisi awawezi kukuuwa tu bila sababu lazima wanajua
  15. Innocent Kirumbuyo

    JamiiForums Tanzania Saa 6:00 ya leo hii 1/1/2024 imekukuta ukiwa wapi na unafanya nini?

    Nikozangu bed napiga hesabu za mwaka jana
Back
Top Bottom