Ugomvi wake na huyo binti utapelekea makaburi ya bakwata yafunguliwe na sasa haya mambo ya ripoti za siri sijui yametokea wapi
Hii italeta yasito husika kabisaa na haitoacha watu salama huko bakwata
nimeitafuta hizo reports zote za hayo mashirika haziko
sasa hawa watu wanataka kututawala na tunalipa kodi lakini hawataki tujue pesa zetu zinatumika vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.