Sasa wachawi wa CCM wamekwisha bado Makamba ambaye anajibu ovyo Mchawi huyu wa uchaguzi wa kuwaaangusha Vigogo wamemuonea sana mchawi wa CCM ni makamba, Edward L.N na NM pamoja na kiongozi wetu aliyewatukana wafanyakazi na walimu. CCM imechokwa sana , mie sitaki kuajiliwa na serikali kwa kuwa siwezi kuvumilia kumweleza mabaya wafanyayo CCm kwa kuogopa kupoteza ajira. CCm wajanja pale Arusha waliwachukua vijana wapya kutoka CCP wanaojaribu kama bunduki kweli inaweza kuua na kuwafundisha jinsi ya kujilazimisha asila kama ukitumwa na bosi wako ndio maana risasi walizitoa kama mjugu, chukulia mwanza ambapo CCP Moshi iko mbali hamna kitu kama hicho, mchawi mwingine ni police ambayo ilishindwa kunyanyasa raia wakati wa kupiga kura mpaka Boss kijana Mzee wa majivuno A.K.A. Bitozi Nyangema Masha alishindwa vibaya kwa kuwa police wenye akili waliwaachia Raia watimize haki yao ya msingi, baaday ya hapo AGP Mwema alifanya mabadiliko ya haraka kuwabadilisha makamanda wote wa Mikoa na Wilaya alipoulizwa alisema ni mabadiliko ya kawaida tu. Mwanahabari wa Zamani wa RAI ya Rosta mlamba miguu Rweye ndiye chanzo cha kufukuzwa au kutoongezea mikataba ya Mhando, huyu ana hulka mbaya ya kujikomba , eti msemaji wa IKULU au mchochezi wa IKULU ndio maana alikimbiwa na Mke(samahani hasira zimezidi)