Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo katika moja ya barua ya maelekezo yake, alimtaka Mwenyekiti wa Bodi ya TBC, Wilfred Nyachia kumpa maelezo ya kina kuhusu mikataba ya mashirika hayo.
Business as usual. Kuhangaika na dagaa wakati mapapa na manyangumi yanadunda kiuraiiiiini. Huyu mzee anastaafu lini?