Nimesha wahikufika eneo tukio lilipotokea, kwa utaratibu ulivyo pale kila abilia lazima ashuke alipie gharama ya kuvukia na dereva pia analilipia gar lake, so ingekua ngum kwa abilia kubaki ndan ya gar wote lazma washuke, labda hasara ni mizigo iliokuwa ndan ya gar, siamin kama kuna majeluhi pale.
Kwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.
Pole sana mkuu kwakua bado hujaijua kweli, nikushauli tu jitahidi kutafuta msaada kwa wanao mjua Mungu kiundan na kazi zake pia. Kwa ufaham wako inaonyesha jinsi gan unapotea kupitia biblia, hujajua nin kimeandikwa na kinamaana gan halisi kwetu pole sana, ( kumcha Bwana nikuuchukia uovu.)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.