pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Bahati yake nzuri mungu amsaidie
Kwa kweli!Bahati yake nzuri mungu amsaidie
Hujuagi kitu wewe, eti jeuri ndio imemuua.Angalau
Ila baba yake jeuri ndio imemuua
Hakuna sauti isiyokuwa na maanaJamaa yuko vizuri sana. anabahati sana kupona mikononi mwa hayo ma rebels
Na ndo maana hautopata maendeleo mpaka unakufa,wenzako wanajuta kwann walimuua,we unaleta maswala ya ujeuli apaAngalau
Ila baba yake jeuri ndio imemuua
Wamemkata juzi, angalia iyo mikono?Walimkata vidole baada ya kumkata akijaribu kuvuka mpaka kwenda Niger
Kweli kabisaJamaa yuko vizuri sana. anabahati sana kupona mikononi mwa hayo ma rebels
Yule ndo ninja wa kweli (I will fight o the last drop of my blood..maneno yake) sio viongozi wa bongo wakitiswa tuu na mmarekani washapiga magoti matokeo yake wanachukua madini yetu wanatupa net???Angalau
Ila baba yake jeuri ndio imemuua