Recent content by immakifumu

  1. I

    Bilionea Al Fahim awa mwenyekiti mtendaji wa klabu ya African Lyon Tanzania

    Haiingii akilini,mtu mwenye uwezo wakununua timu ulaya aje kuwa mkiti wa timu ya vpl,wale waliomleta malkia iliishia wapi kwani?
  2. I

    Kiporo cha Azam kimechacha: Azam 2, Ndada 2 Full time

    Azam kuendelea vibaya inaashiria ubingwa ni wa yanga maana hakuna timu yenye uwezo wa kushinda mechi nyingi kama ilnavyofanya yanga na hakuna timu ktk ligi kuu yenye kikosi imara na bora zaidi ya yanga,ukweli lazima tuseme tuache kulazimisha ndoto kuwa kweli
  3. I

    Konda na Makonda

    Hivi mwalimu anatumia shs ngapi kwa siku?halafu eti alipiwe nauli,waalimu wanazo changamoto nyingi zinazowakabili wala sio naili
  4. I

    Wadada mnadanganywa, umri ukienda mnaanza stress zenu

    Mabinti huwa wanachagua sana na hupenda wanaume wanaodanganya ndio maana hata muoaji wakweli anapomtokea huwa hajitambui,yupi mkweli zaidi anaangalia yule anayempatia vitu na pesa mwisho akichoka anaachwa njia panda,akija kushtuka kijua kimeshazama,yule aliyemringia anamkuta tayari anafamilia na...
  5. I

    Nahitaji azam tv king'amuzi na dishi lake

    Na mm nahitaji naomba bei plz
  6. I

    Frame Kubwa Inapangishwa Bamaga Ustawi

    Umeshasema unapangisha frem na kodi umesema 900000 kwa mwezi anayeondoka inatuhusu nini
  7. I

    Unajisikiaje unavyotongoza halafu ukakataliwa?

    Ukikataliwa umeokoa gharama
  8. I

    Huu ukaribu japo ni urafiki nina mashaka nao sana

    Hawara hana talaka mtimue maana hata ukimuonya nilazima wakuibie tu,mzinzi ana mbinu nyingi sana
  9. I

    Jenereta dogo

    Nahitaji jenereta dago wadau,kwa wale wanaojua hii kitu naomba mniambie niandae bei gani nataka dogo sio kubwa
  10. I

    Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

    Malinzi OOOOOUUUUUUTTT TFF imekupwerepweta
  11. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mm napenda sana kubet lakini bado cjafahamu jinsi ya kubet nitafanyaje ili niweze jamani msaada wenu ili na mm nijaribu bahati
  12. I

    Nahitaji line ya TigoPesa

    Nahitaji line ya Tigo Pesa kwa anayeuza.
  13. I

    Nilichojifunza kwa Panya Road na kwanini tutaendelea kuwa masikini kwa miaka mingi ijayo

    heri kukimbia uchekwe kuliko kuumia ubezwe,hakuna ambaye hakukimbia jana tena wale wanaojidai wabishi hao ndio wakwanza kukimbia
Back
Top Bottom