immakifumu
Member
- Aug 8, 2014
- 62
- 9
Malinzi OOOOOUUUUUUTTT TFF imekupwerepweta
Hivi huyu rais wa TFF alipitaje hadi kuwa rais??
Aiseeeee yaani jana niliona aibu jinsi timu yetu ilivyokuwa inapigishwa samba na nchi kama madagascar, jinsi Oscar Joshua alivyokuwa anapigwa tobo, Nyoni alivyokuwa uchochoro upande wa kulia, jinsi boko alivyokuwa anatoa ulimi nje nje kama mbwa anaetoka mawindoni.
Ila iliniuma sana nilipomuona kocha kilaza amevaa kofia yenye rangi ya bendara yetu ya tanzania....
Yaani kwa starz ile ya cosafa kukutana na Misri na Nigeria tutakula kama za Brazil na German.,..
uyo kocha wao kama amesahau nguo huku mtu amkimbizie haraka akapande ndege huko huko asirudi huku. ni kocha dhaifu kuliko wote, bora hata wabongo wenzetu wangefundisha. unafungwa na swaziland nchi haina mbele wala nyuma, unafungwa na madagascar? hii aibu gani jamani.
Mkuu, huyu Jamal Malinzi anatakiwa kuchukua hatua kutuepusha na hii dhahama inayokuja.
Kwanza huyo Jamal Malinzi aondoke kabisa TFF akatafute kazi nyingine za kufanya, hana ubunifu, hana mawazo, hana ujanja, haijuwi soka, hawezi kuiendeleza soka hata awepo hapo miaka 100.
Sijuwi hao waliomchaguwa walikuwa na kigezo kipi kilichowafanya wachaguwe.
cc Bishanga
Kwa Taifa Star hii, tutaondoka na kapu la magori katika mechi za kufuzu Afcon.
NOTE: Misri, Nigeria, Chad tupo nao kundi moja.
hivi huyo rais wa tff kweli ameleta mapinduzi yeyote kwenye mpira wa tz, ana faida gani jamani, tukimlinganisha na tenga, nani bora. ameleta kitu gani kipya?Tatizo sio Kocha tatizo TFF
Mtanzania toa maoni yako ni kitu gani kifanyike ili timu ya Taifa iondokane na hii aibu ya kila mwaka! Je tatizo ni kocha au? toa mawazo yako hapa ili hata Jamal Malinzi akipitia hapa aweze kuona watanzania wanasema nini juu ya timu yao ya taifa.Hii ni aibu tuisaidie timu yetu.
hivi huyu kocha tangu aingie amesha wahi shinda mechi yoyote ile?
Tatizo sio Kocha tatizo TFF