Barrick ni wanamiliki hisa 64% lakini wanaoendesha mgodi ni Acacia
Acacia ndio wanachimba na Ndio wanauza dhahabu
Lazima wapitie mapendekezo ya Barrick kwanza ... Then wataamua itakavokua sio lazima wakubali kila kitu
The truth is that our military won the war, but our politicians lost it. The Communists in North Vietnam actually signed a peace treaty, effectively surrendering. But the U.S. Congress didn't hold up its end of the bargain.Jun 23, 2014
The Truth about the Vietnam
Hakuna namna hizo nchi ulizotaja zitaisaidia north Korea ... Syria ilisaidiwa na Urusi sababu tu iliuizia silaha ... North Korea inatakiwa iangushwe watu waweke umagharibi wafanye biashara ... Hata sisi huku Moshi tunatAka tupeleke kahawa
Mange hana tofauti na hao wengine kina Snoopy na tupac ... Na kina Trevor Noah. Bill Maher etc ... ambao hutumia lugha za kiutu uzima kwenye "majukwaa yao".
For adults only ... Kama hujakomaa unaweza usimuelewe Mange.
Pamoja na kutoa taarifa, pia ni entertainer ... Lazima utacheka tu! Na...
Unataka watoto wanuke na washindwe kujichanganya na wenzao ... Kwani nani asiyejua kinachofundishwa kwenye unyago na jando?
Acha watoto wajitambue mapema
Mbowe alipokea fisadi yupi? Sasa hiyo fisadi mbona mahakama inaundwa inamaana Lowassa atashitakiwa? Subiri uone. Magufuli ndie anayemiliki magereza na mahakama na jeshi la Anga na nchi kavu lakini hadi sasa hakuna fisadi yeyote katokea chadema
Magufuli ni msanii tu na hana kazi za kufanya wala haonyeshi kuwa anaumizwa na jambo lolote linalomsukuma kuutaka urais. Yani ni mtu anayechululia urais kama post tu yoyote katika baraza la Mawaziri.
Hajajiandaa. Hajaandaliwa!!!
Mtu makini atapandaje ngazi wakati kuna lift .. Yan ili iweje...
Kauli au maoni ya Mbowe sio ya mahakama au ati ndio hukumu. Ni kweli Lowssa hakua mchangiaji sana bungeni. Na pia hakuonyesha makucha yake hadharani ..
Sasa tumejua kuwa mfumo na desturi ndani ya CCM imekua ikiminya sana. Pia ndoto zake za kuwania urais ndani ha hicho chama ilikua inapitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.