Heeeeeeeeeeeeh!!!!!!!
Unajua kwanini nashangaa?? Nashangaa kwa baadhi kutofahamu kuwa multi party system na globalization kuna faida (positives) na hasara (negatives)...inasikitisha mno....Baadhi ni watu wa kuwahurumia tu...
Heeeeeeeeeeeeh!!!!!!!
Nabado zibeni macho na ubongo.
Anaejitambua ni yule anaechagua chama cha upinzani eehtabora inaangushwa sana na elimu,selfishness,
weka takwimu za kielimu kwa mikoa iliyochagua upinzani tuoneKuna correlation kubwa kati ya kuchagua upinzani na elimu au exposure ya mtu, mikoa mingi iliyochagua upinzani ukiangalia ina kitu kimoja in common, ni wafuatiliaji wa kinachoendele a serikalini na wana elimu, nadhani unabisha hili kwa kuwa wewe ni kada wa CCM, so it's understandable ukibisha ili uendelee kukipa credit chama chako
Give us prons and cons of single and multiparty systems.So that we can be able to weigh both systems.Other things are just blah blah.Unajua kwanini nimeshangaa....nashangaa kwa kuwa inaelekea bado kuna watu wasiofahamu kuwa multi party system na globalization kuna faida (positives) na hasara (negatives)...Baadhi ya watu ni wa kuwahurumia tu...
Unaishi Tanzania? au unaishi lakini hufuatilii kinachotokea Tanzania kwenye siasa? Ok ni hivi halmashauri za majiji yote isipokuwa Mwanza zimechukuliwa na upinzani, majimbo ya mjini kama Dar, arusha, mbeya, iringa,moshi, yameenda kwa upinzani..sehemu nyingi upinzani inapopata kura ni mjiniweka takwimu za kielimu kwa mikoa iliyochagua upinzani tuone
hiyo ndiyo takwimu ya kielimu?Unaishi Tanzania? au unaishi lakini hufuatilii kinachotokea Tanzania kwenye siasa? Ok ni hivi halmashauri za majiji yote isipokuwa Mwanza zimechukuliwa na upinzani, majimbo ya mjini kama Dar, arusha, mbeya, iringa,moshi, yameenda kwa upinzani..sehemu nyingi upinzani inapopata kura ni mjini
hiyo haitoshi? kuona huwezi mkuu?hiyo ndiyo takwimu ya kielimu?
mkuu unataka takwimu zipi tena au unataka ubishi tu hivi unaweza kufananisha mwamko wa elimu wa kilimanjaro na dodoma au mwamko wa kielimu kati ya mbeya na Taboraweka takwimu za kielimu kwa mikoa iliyochagua upinzani tuone
Hapa tunazungumzia upinzani kuchaguliwa Kilimanjaro ni kwa sababu ya ukabila na udini? kama ni ndio leta ushahidi wako straight, hivyo vingine vyote unavyosema ni upuuzi na hearsay za watu,huu ubaguzi amabo unasemwa sana hapa JF sijawahi kuuona wala ku experince labda Moshi ya miaka ya 70'S
Kilimanjaro wako sensitive sana na ukabila/ukanda. Ili mradi tu mgombea au chama kinatoka au kinaongozwa na mtu wa kwao basi wote wataungana kumshabikia. Fikiria kama kweli wana mwamko wa elimu wangeweza vipi kumshabikia wote kabisa tena kwa ujumla mgombea aliyekuwa zezeta kama Mrema 1995? Lakini pia fikiria walivyokuwa wamejitoa ufahamu kwenye uchaguzi uliopita, walikuwa wako tayari kupiga kura kwa Lowasa hata pale alipoonesha dhahiri kwamba hakuwa sawa kwa namna yoyote. Wakati fulani wakitamka walikuwa tayari kupigia kura hata jeneza la mgombea wao.Tabora hawako hivyo, wana historia na siasa tangu enzi hizo na sio hawa wa kaskazini (hasa wachaga) ambao kwao siasa ni kutaka kujimilikisha mirija yote ya uchumi wa nchi na kuielekeza mifukoni mwao. Ushirikiano wa kaskazini ni kama ule wa waendesha bodaboda.Nadhani elimu na exposure ya watu wa mkoa husika pia inahusika, Tabora watu wake ukilinganisha na Kilimanjaro (no offense) Kilimanjaro ni watu wasioaminishwa hekaya za ajabu ajabu na ni watu wanaotake risk
Wachaga ndio wamesababisha Tanzania kuwa maskini.Kwa hiyo tuchague watu wa Kanda ya ziwa tufikie uchumi wa kati na Tanzania ya viwanda.HahahaWachaga ni wabinafsi, wabaguzi na wenye choyo kali... Wanachaguana wao tu.
Unaongea upuuzi, mimi nimeuliza hao wabunge walioshindwa uchaguzi kutoka ccm walikuwa sio wachaga?Kilimanjaro wako sensitive sana na ukabila/ukanda. Ili mradi tu mgombea au chama kinatoka au kinaongozwa na mtu wa kwao basi wote wataungana kumshabikia. Fikiria kama kweli wana mwamko wa elimu wangeweza vipi kumshabikia wote kabisa tena kwa ujumla mgombea aliyekuwa zezeta kama Mrema 1995? Lakini pia fikiria walivyokuwa wamejitoa ufahamu kwenye uchaguzi uliopita, walikuwa wako tayari kupiga kura kwa Lowasa hata pale alipoonesha dhahiri kwamba hakuwa sawa kwa namna yoyote. Wakati fulani wakitamka walikuwa tayari kupigia kura hata jeneza la mgombea wao.Tabora hawako hivyo, wana historia na siasa tangu enzi hizo na sio hawa wa kaskazini (hasa wachaga) ambao kwao siasa ni kutaka kujimilikisha mirija yote ya uchumi wa nchi na kuielekeza mifukoni mwao. Ushirikiano wa kaskazini ni kama ule wa waendesha bodaboda.
Ubungo ni Kilimanjaro?Kililimanjaro kuna matatizo ya udini na ukabila tofauti na Tabora hawana udini wala ukabila. Ukitaka kuhakikosha hill angali jimbo la ubungo na kibamba tangu enzi za kina lamwai na zaidi ya hapo
mimi nimeishi Moshi miaka mingi, nimesoma na wachaga, wambulu, wasukuma wajaluo na wengineo pia, ila watu wenye bond kubwa za kikabila ni watu wa kanda ya ziwa, wambulu na wengineosasa kama wewe hujawahi kuona wala ku experience maana yake ndio haupo? Vingapi hujaviona wala ku vi experience lakini vipo? Kwa hiyo unataka kutuambia ushoga na mapenzi ya jinsia moja yapo kwa vile umeshawahi kuona na ku experience? Argument nyingine bwana!
Upumbavu wa kulinganisha elimu na upinzani. Ukabila mtupu, tungewaelewa kama hao wanaojiita wapinzani wasomi wangekuwapo wengi huko CUF, UDP na labda TADEA. Wanakuwa wapinzani pale tu chama fulani kinaongozwa na mtu toka kwao. Wajinga wakubwa. Subiria CCM baada ya magufuli wamweke Agrey Mwanri kugombea urais uone wachaga watakavyomiminika kushabikia kijani. Au subiria CDM watakapofanya uchaguzi M/kiti awe prof. Safari, Makamu Rwakatare, Katibu Mkuu abaki Mashinji, Naibu awe David Silinde, Msemaji wa chama awe Ester Bulaya, Mwanasheria abaki Lissu na kuwe na dalili za wazi kwamba mgombea urais wa CDM/UKAWA awe Mtatiro au mwingine yeyote toka CUF. Hapo wakichagua Mtatiro badala Mwanri utajua ni wapinzani na si wakabila.SUKUMA + NYAMWEZI LAND zamani Bomani aliita MWASHITA( Mwanza,Shinyanga & Tabora) The Three Sleeping Giants Kule Usingizi wa Maarifa upo na ndio Chanzo cha Upinzani Dhaifu na Umaskini