Ingekuwa nchi nyingine Mbowe alitakiwa kujiuzulu mara moja. MAANA hata wavuta bangi na walevi wasingemsikiliza. Nyerere alilazimika kujiuzulu maana ilikuwa kwake vigumu kukumbatia vyama vingi wakati siku zote alishabikia chama kimoja. SLAA kaamua kukaa pembeni maana alitueleza bayana Lowasa ni fisadi na ushahidi anao.
Hawa akina mbowe, lema, tundulisu ni wahuni kwa historia ndio maana wako tayari kusema kinyume na waliyoyasema mwanzo.
Wakuu nimepitia kumbukumbu zangu zote sijaona sehemu hata moja Mh.Mowe mweyekiti wa CDM akimtaja Mh. Lowasa kuwa ni fisadi. waliokuwa wakisimama hadharani bila woga walikuwa ni Katibu mkuu na viongozi wengine wa chama. kuna nini nyuma ya pazia?
Mwenye ushaidi aende mahakani. Kama huna ushaidi just shut up.
Aliwaaminisha ccm hawatamchukuwa na wao wakaingia kichakichwa kumkata!Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
SASA MBOWE AACHE KUWAITA KINA CHENGE,TIBAIJUKA,MUHONGO NA NGELEJA AJE KUMUITA LOWASSA AMBAYE ALIBAMBIKIWA TU KESI? mafisadi wakuu,wazee wa ESCROW bado wapo CCM
Mwenye ushaidi aende mahakani. Kama huna ushaidi just shut up.
Mwenye ushaidi aende mahakani. Kama huna ushaidi just shut up.
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Baba lao akina Chenge, Tiba, Ngeleja ni Edward Lowassa
Hao kina Chenge,Ngeleja na Tibaijuka MMEWASHUHULIKIAJE?
Hebu cheki track record yangu mi ni mwana mageuzi halisi na ni supporter wa Dr Slaa miaka mingi. Siko CCM.
We na akina Mbowe ni wasaliti wa harakati zetu na tutawamulika. Ni mafisadi kumbe! Huyo Edo ndo baba lao na Rostam ni Chief financier wa mafisadi na mmewafungulia mlango. Subiri tutaibua kila kitu baada ya kumdhalilisha mzee wetu na wapiganaji kama akina Lipumba
Kama huamini kaa humuhumu utajionea mambo.
Hahahaha!Nyuma ya pazia kuna Mlango
Mkuu asanteUkizipitia comments za wadau halafu ukacheck na kilichotea baadae na maoni yao wanayoyatoa hivi leo!!
Utagundua >100% ya wadau humu hawajielewi yaani wanaswagwa tu kama kondoo na wanaswagika.
Bahati mbaya mswagaji mwenyewe anajua kondoo wake ni matahira basi full kuyalambisha matabishi.
Hakuna ushabiki mbaya kama kushabikia usichokijua.