Ata mie nilikuwa na mawazo kama yako zamani,kwamba Watanzania wanaichagua CCM kwa sababu hawajitambui,lakin with time nimekuja kugundua kuwa hawa Watanzania kumbe wana akili kuliko tunavyowadhania na ndio maana wanapopewa chongo(CCM) na kipofu(Chadema) wameamua ni heri wachague chongo.
Siku...
Hapa ndipo mlipochemka,mtu yeyote mwenye akili atajua mnacheza igizo maana haiwezekani mshambuliwe nyie alafu na hizo silaha za kushambuliwa muwe nazo nyie.
Tatizo la michezo hii ya kitoto ni kuwatoa kafara wenyenu,na kwa jinsi ulivyoandika "mwenzetu anaweza kufa wakati wowote",kauli hii...
Namkubali Mwigulu kwa juhudi zake za kukitumikia chama chake lakin kwa kuwa sasa ni Naibu Waziri nadhan ni vyema kwake sasa kudeal zaidi na masuala ya kiserikal,na kwa kuwa kesho ni jtatu nilitegemea awe ofisini.
Biblia yangu inaniambia "utoapo sadaka ata mkono wako wa kushoto usijue kile mkono wa kulia ulichotoa";kinyume cha hapo ni unafiki.Sasa hao wanaoweka na majina kabisa sijui wanatumia maandiko gani.
ILA kama mlikubaliana kama KUNDI/KANISA KILA MMOJA kutoa fedha kwa ajili ya kusudio...
hakuna mtu mwenye akili timamu atakayebisha kuwa mkutano wowote utakaofanyika Mbambabay tena mhutubu akija na helkopta utapata wahudhuriaji wengi,Kumbuka leo ni siku ya kihistoria kwa wengi huko kuona hiyo helkopta,na by the way wasipoenda mkutano huu watapoteza muda wapi?
Mushi!!watauwaje chama wakati sasa kesi imerudishwa kwenye chama ili wenye chama(Baraza Kuu) waimalize.Kama Zitto hatakiwi si Baraza Kuu litamfukuza tu na mambo yanaisha.Ila ukiona watu(Viongozi) wanaogopa kuitisha Baraza Kuu ujue kuna tatizo...wanaogopa nini?
Haijalishi kura yake kwenye CC ilikuwaje,ila kukaa kimya kwenye "umma" kwenye situation kama hii ni ushindi kwa mwanasiasa yeyote makini.
JK alipata kuwaasa vijana na ninakubaliana naye kwenye hili"Mkitaka mfanikiwe kwenye siasa,tengenezeni marafiki lakini katu msirithi maadui wa marafiki...
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.
Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.