Mkumbuke pakti la kwanza imebaki moja, mnaenda maliwato mnakagua kama haijapata michano mnarudi tena kufunguliwa pakti nyingine.
MAN UTD 4 -O LIVERPOOL
Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
Dakika 370 inaweza kuwa kweli, fikiria ndege ipo katikati ya hahari Atlantic inatoka South America kuja Africa halafu injini ifeli masaa mawili hayawezi tosha kuifikisha nchi kavu itue
Kwa huyu Nunuz, tumepata Magwaya wa mbele, bora tubadilishane Man U watupe Magwaya aje awe straika sisi tuwape NuNuz akawe beki maana majukumu yanaingiliana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.