Huyu jamaa ni mkubwa sana!! Hilo koti la u RC amevikwa tu ili kupunguza makali ya nguvu zake,jana mh PM ameishia ku hit around the bush! Hathubutu kumtaja kwa jina
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite kiboko!!! Watu na vyeo vyao lakini wanaogopa hata kumtaja jina!! Makonda ni jina lipitalo majina yote wallah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa gani bashite? Yaani kuua nyoka anayekuwinda ili akudhuru ni kosa kisheria? Mbona hata kuua binaadamu inaruhusiwa iwapo anaweka maisha yako au ya mali yako hatarini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba mwenye mjukuu unamuita "kitoto" halafu unauliza eti nani kamvunjia heshima? Ulipokuwa unamtetea kikwete kwa nguvu zote kuna mtu alikuuliza kama wewe ni mkwere? Kibibi kisicho na busara ni sawa tu na kisichana kimala----!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama corona ni 5G basi ukimwi ulikuwa ni 4G!! Sema tu mitume na manabii wetu wa haya makanisa ya maturubali walionywa na mungu wasiseme,ila walikuwa wanajua hilo kitambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samehe tu bure mkuu,kuna mahali huko masaini ukiacha rolls royce lako baadaye utakuta tyre zote hakuna,wanaenda kutengeneza masendeu (kata mbuga) hivyo vingine havina thamani kwao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.