Ujumbe huu wa Makonda unamlenga nani?

Ujumbe huu wa Makonda unamlenga nani?

Huyo ni shujaa wetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu huu ujumbe unakulenga wewe. Wewe na mkuu mnamgombania Ebitoke ndio maana aliutoa.
 
Kwenye hio clip anasema
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?
Cc Mbao za Mawe mrangi
 
Huyu jamaa ni mkubwa sana!! Hilo koti la u RC amevikwa tu ili kupunguza makali ya nguvu zake,jana mh PM ameishia ku hit around the bush! Hathubutu kumtaja kwa jina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hio clip anasema
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?
Hatari sana..!
 
Kwenye hio clip anasema
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?
Waziri Mkuu na mawaziri wake ndio amewalenga hasa.
Hawamthubutu.
 
Back
Top Bottom