Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Shujaa wa Marekani na Senator, John McCain aamua kuacha kuendelea na matibabu ya saratani ya ubongo.
Hii maana yake ni kwamba maisha yake yamekaribia kufikia tamati hapa duniani.
Inasikitisha.
https://www.cnn.com/2018/08/24/politics/john-mccain-cancer-treatment/index.html
Hii maana yake ni kwamba maisha yake yamekaribia kufikia tamati hapa duniani.
Inasikitisha.
https://www.cnn.com/2018/08/24/politics/john-mccain-cancer-treatment/index.html