Kudaadek kumbe hawanaga mipango wanakurupukaga haya bombaider lkn lisu nilimsikiaga akiwapondaga na bombaidaga yao sasa mtabir yupo ubelgij utabir umetimia lait angekuwpo da tungekuwa tushapewa milion50 kila kjj
Da kuna mama mmoja anasema akikaa ndani anafunga milango yote madirisha yote mapazia yote akisinzia kidogo anakuta kila kitu kipo waz sasa hv kapanga chumba cha giza uswahilin chezea mnada house weye
Et zile ndangu zimekutajirisha c umeona mwambie na kaka yako aje nitamsaidia mh wakat huo napambana na hali yangu et mtu ananiambia ndangu zake zimenitajirisha hawa waganga wa ccm hawa da
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.