kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Nikiwa katika pitapita za miangaiko ya asubuhi maeneo ya ubungo mataa nilimwona mwanamama moja akiwa amerelax akiendesha gari dogo sana nilipolisoma ni aina ya bajaji qute, kweli nikiri sijawahi kumuona mtu mwenye gari kama hili inawezekana huyu mama ni wa kwanza, nilisogea nimuulize maswali kadhaa kuhusu gari bahati mbaya muda huo huo trafki akaruhusu foleni ,sasa wadau ikiwemo walio karibu na huyo mama mniambie;
1. Hii gari/quadricycle hapa bongo nai[pata wapi?
2.Bei yake kuagiza ni sh ngapi nimeona zinatengenezwa india
3.Je ubora wake ukoje
Hayo tu nimefikiria katafaa familia yangu kwa shughuli za hapa Dar na hali ya uchumi
NAWASILISHA.
1. Hii gari/quadricycle hapa bongo nai[pata wapi?
2.Bei yake kuagiza ni sh ngapi nimeona zinatengenezwa india
3.Je ubora wake ukoje
Hayo tu nimefikiria katafaa familia yangu kwa shughuli za hapa Dar na hali ya uchumi
NAWASILISHA.