Sawa.ukimaliza tunaomba picha ya mjengo wako.Kwa Uelewa wangu zinatosha mradi fundi awe na TIMU YA KUTOSHA YA WATAALAMU WA KUFANYA KAZI
Hiyo laki 5 aliandika ya nini au nauli?😳 😳 😳
Mi mwenyew najiuliza bado mana hajajibuHiyo laki 5 aliandika ya nini au nauli?
Mafundi wengi hawajui hata negotiation anasema chochote akifika site akalipwa kidogo na akaona kazi ni kubwa anakimbiaMi mwenyew najiuliza bado mana hajajibu
Umeshapata fundi?!Shida yenu hamuelewi,hizo materials zimeshalipiwa zote kama zilivyo hapo na ziko stoo tayari kwa kazi anatakiwa fundi aangalie kama zitamtosha kwa mahitaji ya kazi kama ilivyoelekezwa pamoja na muda wa kufanya kazi
Bado naona watu wanatoa namba za simu tu badala ya kutoa taarifa ambazo zitanipa uelekeo wa kunishawishi niwape kazi au la.Nafikiri hii pia ni moja ya shida zinazofanya watanzania tushindwe kuwa na ushindani kimataifa.Kwa jinsi nilivytoa taarifa na maelezo hapo juu ina maana tayari kama mtu ni fundi mzoefu ana uwezo wa kuchukua hizo taarifa kuzifanyia kazi na kisha anitafute ama kwa email au pm kisha anieleze kidogo kuhusu kazi yake uzoefu wake na gharama zake ili nifanye mchakato.Naona wengi huku wamezoea ama kupewa kazi kwa kujuana au kuonewa huruma au kupendelewa na sio kwa kuwa competitive.Ila naendelea kusubiri labda atatokea mwenye uelewa achangamkia hii kazi.Umeshapata fundi?!
Mkuu ngoja nije pmBado naona watu wanatoa namba za simu tu badala ya kutoa taarifa ambazo zitanipa uelekeo wa kunishawishi niwape kazi au la.Nafikiri hii pia ni moja ya shida zinazofanya watanzania tushindwe kuwa na ushindani kimataifa.Kwa jinsi nilivytoa taarifa na maelezo hapo juu ina maana tayari kama mtu ni fundi mzoefu ana uwezo wa kuchukua hizo taarifa kuzifanyia kazi na kisha anitafute ama kwa email au pm kisha anieleze kidogo kuhusu kazi yake uzoefu wake na gharama zake ili nifanye mchakato.Naona wengi huku wamezoea ama kupewa kazi kwa kujuana au kuonewa huruma au kupendelewa na sio kwa kuwa competitive.Ila naendelea kusubiri labda atatokea mwenye uelewa achangamkia hii kazi.
Mi nikajua ni Kituo Cha Polisi kinajengwa!Utafikiri nyumba ya mganga.
Tuma Raman nikukadirieNyumba ya vyumba 7,sitting room, toilets be gani finishing..
Vyumba ni 2.5x2.5 mita kasoro viwili, kuna 3.5 x2.5 na 3.5x7.5 mita, sebule 4.5x10 meter toilet na bafu ni 3.5x2.5 mita pia kuna kolido mbili moja ina upana na urefu wa 1x14mita na nyingine 1x8mita veranda ni 3.5x3.5.
Makadirio ya chini kabisa kwa nyumba ya kisasa
unatengeneza swimming pool?kuna kazi mahali,ila uniambie umefanya kazi wapi na wapi za swimmimg poolUkitaka swimming pool naomba nipe Kazi mkuu,
Nimeku pm?? nasubiri mrejeshoKwa Uelewa wangu zinatosha mradi fundi awe na TIMU YA KUTOSHA YA WATAALAMU WA KUFANYA KAZI
Nimemuomba nyumba ikiisha atuwekee picha.Mi nikajua ni Kituo Cha Polisi kinajengwa!
Asante kwa mchango wako,nimeona umefanya mara tatu ya idadi ya tofali ingawa kwa makadirio yangu natarajia kutumia kama tofali 2000 hivi ila asante kwa maoniNimependa mchanganuo wa kazi...
Ila naona material ni machache sana mfano tofali hapo makadirio inaenda tofali 4,500 tiles ni chache bati chache kila kitu kichache...
Na ujenzi wa nyumba kwa siku 30 ni hatari sana unakaribisha nyufa... Cement lazima ikauke vyema na kunyonya maji... Umwagiliaji wa zege tu ni siku 3 to 4....
Anyway wish you all the best..
Mbona hizi hesabu hujaweka majibu yake?Nyumba ya vyumba 7,sitting room, toilets be gani finishing..
Vyumba ni 2.5x2.5 mita kasoro viwili, kuna 3.5 x2.5 na 3.5x7.5 mita, sebule 4.5x10 meter toilet na bafu ni 3.5x2.5 mita pia kuna kolido mbili moja ina upana na urefu wa 1x14mita na nyingine 1x8mita veranda ni 3.5x3.5.
Makadirio ya chini kabisa kwa nyumba ya kisasa