Fundi Ujenzi anahitajika

Fundi Ujenzi anahitajika

Mimi ni mtaalamu wa ujenzi, sihitaji hio kazi lakini naweza kukupa ushauri bure wa kitaalamu.
 
Shida yenu hamuelewi,hizo materials zimeshalipiwa zote kama zilivyo hapo na ziko stoo tayari kwa kazi anatakiwa fundi aangalie kama zitamtosha kwa mahitaji ya kazi kama ilivyoelekezwa pamoja na muda wa kufanya kazi
Umeshapata fundi?!
 
Umeshapata fundi?!
Bado naona watu wanatoa namba za simu tu badala ya kutoa taarifa ambazo zitanipa uelekeo wa kunishawishi niwape kazi au la.Nafikiri hii pia ni moja ya shida zinazofanya watanzania tushindwe kuwa na ushindani kimataifa.Kwa jinsi nilivytoa taarifa na maelezo hapo juu ina maana tayari kama mtu ni fundi mzoefu ana uwezo wa kuchukua hizo taarifa kuzifanyia kazi na kisha anitafute ama kwa email au pm kisha anieleze kidogo kuhusu kazi yake uzoefu wake na gharama zake ili nifanye mchakato.Naona wengi huku wamezoea ama kupewa kazi kwa kujuana au kuonewa huruma au kupendelewa na sio kwa kuwa competitive.Ila naendelea kusubiri labda atatokea mwenye uelewa achangamkia hii kazi.
 
Nyumba ya vyumba 7,sitting room, toilets be gani finishing..
Vyumba ni 2.5x2.5 mita kasoro viwili, kuna 3.5 x2.5 na 3.5x7.5 mita, sebule 4.5x10 meter toilet na bafu ni 3.5x2.5 mita pia kuna kolido mbili moja ina upana na urefu wa 1x14mita na nyingine 1x8mita veranda ni 3.5x3.5.
Makadirio ya chini kabisa kwa nyumba ya kisasa
 
Bado naona watu wanatoa namba za simu tu badala ya kutoa taarifa ambazo zitanipa uelekeo wa kunishawishi niwape kazi au la.Nafikiri hii pia ni moja ya shida zinazofanya watanzania tushindwe kuwa na ushindani kimataifa.Kwa jinsi nilivytoa taarifa na maelezo hapo juu ina maana tayari kama mtu ni fundi mzoefu ana uwezo wa kuchukua hizo taarifa kuzifanyia kazi na kisha anitafute ama kwa email au pm kisha anieleze kidogo kuhusu kazi yake uzoefu wake na gharama zake ili nifanye mchakato.Naona wengi huku wamezoea ama kupewa kazi kwa kujuana au kuonewa huruma au kupendelewa na sio kwa kuwa competitive.Ila naendelea kusubiri labda atatokea mwenye uelewa achangamkia hii kazi.
Mkuu ngoja nije pm
 
Nyumba ya vyumba 7,sitting room, toilets be gani finishing..
Vyumba ni 2.5x2.5 mita kasoro viwili, kuna 3.5 x2.5 na 3.5x7.5 mita, sebule 4.5x10 meter toilet na bafu ni 3.5x2.5 mita pia kuna kolido mbili moja ina upana na urefu wa 1x14mita na nyingine 1x8mita veranda ni 3.5x3.5.
Makadirio ya chini kabisa kwa nyumba ya kisasa
Tuma Raman nikukadirie
 
Nimependa mchanganuo wa kazi...
Ila naona material ni machache sana mfano tofali hapo makadirio inaenda tofali 4,500 tiles ni chache bati chache kila kitu kichache...
Na ujenzi wa nyumba kwa siku 30 ni hatari sana unakaribisha nyufa... Cement lazima ikauke vyema na kunyonya maji... Umwagiliaji wa zege tu ni siku 3 to 4....

Anyway wish you all the best..
 
Nimependa mchanganuo wa kazi...
Ila naona material ni machache sana mfano tofali hapo makadirio inaenda tofali 4,500 tiles ni chache bati chache kila kitu kichache...
Na ujenzi wa nyumba kwa siku 30 ni hatari sana unakaribisha nyufa... Cement lazima ikauke vyema na kunyonya maji... Umwagiliaji wa zege tu ni siku 3 to 4....

Anyway wish you all the best..
Asante kwa mchango wako,nimeona umefanya mara tatu ya idadi ya tofali ingawa kwa makadirio yangu natarajia kutumia kama tofali 2000 hivi ila asante kwa maoni
 
Nyumba ya vyumba 7,sitting room, toilets be gani finishing..
Vyumba ni 2.5x2.5 mita kasoro viwili, kuna 3.5 x2.5 na 3.5x7.5 mita, sebule 4.5x10 meter toilet na bafu ni 3.5x2.5 mita pia kuna kolido mbili moja ina upana na urefu wa 1x14mita na nyingine 1x8mita veranda ni 3.5x3.5.
Makadirio ya chini kabisa kwa nyumba ya kisasa
Mbona hizi hesabu hujaweka majibu yake?
 
Back
Top Bottom