Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 4,218
- 5,897
Mimi naona bado anapiga pori. sijaona pointi yake hapo. Pia tatizo Watanzania tunapenda sana ushabiki hata kama mtu kasema pumba tupu. Standard Gauge Railway imepangwa kujengwa kwa awamu, awamu ya kwanza ndo hiyo ya Dar-Moro na kazi ilishaanza. Awamu ya pili ni Moro-Makutopora (Dodoma) na Mkataba unasainiwa Februari hii. wakati kazi ya hizi zinaendelea tunajipanga na Dodoma-Tabora-Kigoma, Tabora-Mpanda, Tabora-Mwanza na Tabora Isaka. Hapo tatizo lipo wapi? Na taarifa imeshatolewa kuwa ujenzi wa toka Isaka-Kigali kwa ubia kati ya TZ na Rwanda unaanza Mwakani.
Hivi mnaokosoa sana humu mnalipa kodi kweli? au mnashabikia tu wakati hata kodo stahiki hamlipi.
Hivi mnaokosoa sana humu mnalipa kodi kweli? au mnashabikia tu wakati hata kodo stahiki hamlipi.