Ni kweli CCM ni mabigwe wa kufuja fedha, mi nakubali kabisa kuna jamaa namjua amelipwa 1.6 bilion kwa ku supply kivazi kimoja ambapo sasa ivi hakina kazi.
mimi wasi wasi wangu ni namna walivyokutana mahakamani mpaka akumelezea yote hayo, maana ni vigumu mtu kukutana naye kwa mara ya kwanza na ya pili halafu akaelezea stori hiyo ni ngumu,
Halafu Jimmy B alionekanaje mahakamani mpaka jeetu alivyokutana mara ya pili akamuuliza kama noi newsman kwa...
hiyo prosecution itakuwa ya kijinai au kimadai, kama ni rushwa obviously ni kijinai sasa DPP atakubali kutoa kibali kwa CDM ku prosecute, mi nakubaliana na LAT ni busara kumuacha tu huyu jamaa alijawa na tamaa
JK ni mjanja anataka kumueleza yatakayotokea hivyo EL na matokeo hayo na kujaribu kumtuliza huyu EL kwa kumuahidi mazuri baada ya maamuzi yatakayokuja yaani maana yake ni changa la macho kwa wananchi tuone kama JK kawatosa kumbe wana mambo yao
waelimishe hao wao wanafikri wakili kazi yake ni kutetea tu, hawajui kama yeye ni ofisa wa mahakama kusaidia kuilekeza mahakama katika kufikia uamuzi wa haki.
Huyu jamaa inabidi awekwe detention ya ghafla atafutiwe kijiji kimoja awekewe ulinzi bila ya mawasiliano yoyote kwa muda wa miaka 5 kuhakikisha network yake yote imeisha akitoka hapo afukuzwe nchini,wakati huo huo mali zake zifilisiwe.
Yaani sisi watanzania kweli ni mazuzu, serikali hiyo ilisema kwamba lazima ilipe dowans iisaidie tanesco kupinga application ya dowans ni janja tu, serikali na wabunge wa ccm, wote wanajua kwamba there is no loophole in legal techinicaliteis kuepuka kutolipa hilo deni sasa baada ya kuona watu...
hiyo ni janja ya ccm, kuwaagiza wanachama waona jumuiya zao kutoa mawazo tofauti ili wawazubaishe wadanganyika aagh nimekosea watanzania kama kawaida yao na watanzanzania wawaone kumbe ni kweli wanatetea maslahi yao kumbe ni zuga
hapana jeshi la polisi ina fall kwenye executive na sio judiciary, halaf ukitaka kushtaki unamshitaki IGP na unamuunganisha AG, na majalada unayosema yanaanzia polisi ni kesi za jinai na huwezi kustaki jeshi la polisi kwa makosa ya jinai ni madai tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.