Mihimili mikuu mitatu ya dola ni executive, judiciary na legslature. Sasa hawa polisi wao wana fall kwenye judiciary. Nikitaka kushtaki chombo hiki (polisi) naanzia wapi manake kesi zote jalada lazima lianzie polisi.... inakuwaje hapa? Na kila mhimili hauruhusiwi kuingilia kazi na maamuzi ya mwenzie.
Thanx in advance.
Thanx in advance.