Billioni 48 upotevu - Uchaguzi??? Chama twawala?

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Watanzania wanaishi kama shida na taabu za umasikini mkubwa sana.

Watanzania wengi hawajui kesho, jana afadhali.

Zitto amefichua na ametuambia watanzania kuwa kuwa ujanja ujanja kwenye hela za kufidia makampuni.

Inasemekana makapuni hewa yamepewa zaidi ya Billion 48....

Sasa hao waliojivua gamba, ndo wenye serikali. Wanatakiwa wathibitishe kuwa hawakuzitumia kwenye uchaguzi.

Hao wenye magamba, hawawezi kushinda bila ufisadi, What a political party, shameeeee on you all....

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanahangaika kujaza form za mikopo, why Mikopo Tanzania? Kwa nini wanafunzi mikopo, ajira iko wapi afterall???

Hao vigogo na mawaziri walisoma bure, leo wanafuja billion 48 ....aibu..

Wanafunzi wa vyuo vikuu wangesoma bure... Hey University students shout please... Wanafunzi Vyuo vikuu piga keleleee...
Wanafunzi wa vyuo vikuu ndo vijana ambao wataiweka Tanzania pazuri kesho.. Hata mikopo yenyewe inatolewa kwa mafungu, ubaguzi...

Wanafunzi secondary wanafeli, kisa hakuna vifaa vya kufundishia na walimu hakuna hey watanzania piga keleleee...

Watu wanakimbia fani ya ualimu, kisa mshahara kidogo... Walimu walipwe sawa na TRA ili watu wakimbilie ualimu.

Tena inatakiwa walimu walipwe vizuri kuliko TRA ili walimu waliofaulu vizuri masomo wakafundishe ili kuongeza ufaulu..

Hospitali hazina dawa....

Mikataba feki, madini yachukuliwa kwa ndege ---10%

hey Watanzania tupige keleleeee
 
Ahsante kwa kutuelewesha, tatizo ni kwamba jamaa wa CCM wameweka pamba masikioni. Hawatishiki na kelele zetu, sasa tunatakiwa kuwa kikazi zaidi yaani kudai kilicho chetu kwa namna yoyote ile maadam ni chetu
 
Watanzania wanaishi kama shida na taabu za umasikini mkubwa sana.

Watanzania wengi hawajui kesho, jana afadhali.

Zitto amefichua na ametuambia watanzania kuwa kuwa ujanja ujanja kwenye hela za kufidia makampuni.

Inasemekana makapuni hewa yamepewa zaidi ya Billion 48....

Sasa hao waliojivua gamba, ndo wenye serikali. Wanatakiwa wathibitishe kuwa hawakuzitumia kwenye uchaguzi.

Hao wenye magamba, hawawezi kushinda bila ufisadi, What a political party, shameeeee on you all....

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanahangaika kujaza form za mikopo, why Mikopo Tanzania? Kwa nini wanafunzi mikopo, ajira iko wapi afterall???

Hao vigogo na mawaziri walisoma bure, leo wanafuja billion 48 ....aibu..

Wanafunzi wa vyuo vikuu wangesoma bure... Hey University students shout please... Wanafunzi Vyuo vikuu piga keleleee...
Wanafunzi wa vyuo vikuu ndo vijana ambao wataiweka Tanzania pazuri kesho.. Hata mikopo yenyewe inatolewa kwa mafungu, ubaguzi...

Wanafunzi secondary wanafeli, kisa hakuna vifaa vya kufundishia na walimu hakuna hey watanzania piga keleleee...

Watu wanakimbia fani ya ualimu, kisa mshahara kidogo... Walimu walipwe sawa na TRA ili watu wakimbilie ualimu.

Tena inatakiwa walimu walipwe vizuri kuliko TRA ili walimu waliofaulu vizuri masomo wakafundishe ili kuongeza ufaulu..

Hospitali hazina dawa....

Mikataba feki, madini yachukuliwa kwa ndege ---10%

hey Watanzania tupige keleleeee

Hoja yako imeenda shule sana
 
Yaani hawa Vigogo wa Chama Twawala bwana, wavivu kufikiria kabisa...

Sasa wanafikiria wakiwahadaa Watanzania kuwa wamejivua gamba ndo Wananchi watawapenda?

Watanzania wanataka 'tangible' economic benefits, watanzania wanataka unafuu wa maisha.

Watanzania hawataki bla blaaa wakati maisha yanaendelea kuwa magumu...

Kwanza serikali ijivue gamba, mawaziri kadhaa wajiuzulu kama vile Mkulo, Wasira,mwinyi Junior, Ngeleja.

Kodi ipunguzwe kwenye bidhaa za ujenzi kama cement, nondo, mbao ili watanzania wajenge. Pia kodi ipunguzwe kwenye mafuta ya diesel, mafuta taa, sukari na mafuta ya kupikia.

Hawa CCM bwana, badala ya kufikiria jinsi ya kutatua kero za wananchi na kuondoa umasikini wao wapo kwenye kujivua gamba na uraisi 2015 (Nipashe msekwa).

Vijana wa Tanzania sasa wamekata tamaa

Hao UVCCM ni watoto wa Vigogo tuu, hawana grassroots kabisa...
 
Wakati inapitishwa bungeni, mshiko wa stimulus package,baadhi ya wabunge makini waliitahadharisha serikali iweke utaratibu unaoeleweka ili hizo hela zisiingie ktk mikono ya wajanja,lakini serikali haikusikia zile hoja,kwa hiyo ilikuwa inafahamika tangu awali zingeliwa kama ambavyo hela zetu nyingi zimepotea kwa mtindo hu huo.
 
Ni kweli CCM ni mabigwe wa kufuja fedha, mi nakubali kabisa kuna jamaa namjua amelipwa 1.6 bilion kwa ku supply kivazi kimoja ambapo sasa ivi hakina kazi.
 
Wakati inapitishwa bungeni, mshiko wa stimulus package,baadhi ya wabunge makini waliitahadharisha serikali iweke utaratibu unaoeleweka ili hizo hela zisiingie ktk mikono ya wajanja,lakini serikali haikusikia zile hoja,kwa hiyo ilikuwa inafahamika tangu awali zingeliwa kama ambavyo hela zetu nyingi zimepotea kwa mtindo hu huo.
<br />
<br />
Dhana ilikuwa ni kuipeleka huko kwenye mifuko ya wajanja. Kama tulipigwa mazingaombwe vile mpaka mchezo umeisha ndio tunagundua makosa.
 
Watanzania wanaishi kama shida na taabu za umasikini mkubwa sana.

Watanzania wengi hawajui kesho, jana afadhali.

Zitto amefichua na ametuambia watanzania kuwa kuwa ujanja ujanja kwenye hela za kufidia makampuni.

Inasemekana makapuni hewa yamepewa zaidi ya Billion 48....

Sasa hao waliojivua gamba, ndo wenye serikali. Wanatakiwa wathibitishe kuwa hawakuzitumia kwenye uchaguzi.

Hao wenye magamba, hawawezi kushinda bila ufisadi, What a political party, shameeeee on you all....

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanahangaika kujaza form za mikopo, why Mikopo Tanzania? Kwa nini wanafunzi mikopo, ajira iko wapi afterall???

Hao vigogo na mawaziri walisoma bure, leo wanafuja billion 48 ....aibu..

Wanafunzi wa vyuo vikuu wangesoma bure... Hey University students shout please... Wanafunzi Vyuo vikuu piga keleleee...
Wanafunzi wa vyuo vikuu ndo vijana ambao wataiweka Tanzania pazuri kesho.. Hata mikopo yenyewe inatolewa kwa mafungu, ubaguzi...

Wanafunzi secondary wanafeli, kisa hakuna vifaa vya kufundishia na walimu hakuna hey watanzania piga keleleee...

Watu wanakimbia fani ya ualimu, kisa mshahara kidogo... Walimu walipwe sawa na TRA ili watu wakimbilie ualimu.

Tena inatakiwa walimu walipwe vizuri kuliko TRA ili walimu waliofaulu vizuri masomo wakafundishe ili kuongeza ufaulu..

Hospitali hazina dawa....

Mikataba feki, madini yachukuliwa kwa ndege ---10%

hey Watanzania tupige keleleeee

hii nchi tumeiweka rehani kwa walafi, watatumaliza kama tusipo wamisri
 
Pia tukumbuke stimulus package ilikuwa imebuniwa na wamarekani kwa ajili ya kusaidia viwanda vyao wakati wa mdororo wa uchumi, na imewasaidia sana. hapa Tz hizo ambazo hazikuibiwa zilisaidia nini kwenye viwanda? Tokea mwanzo ni wizi mtupu uliokuwa umepangwa, kwa kudesa stratage za wazungu!!
 
Watanzania wanaishi kama shida na taabu za umasikini mkubwa sana.

Watanzania wengi hawajui kesho, jana afadhali.

Zitto amefichua na ametuambia watanzania kuwa kuwa ujanja ujanja kwenye hela za kufidia makampuni.

Inasemekana makapuni hewa yamepewa zaidi ya Billion 48....

Sasa hao waliojivua gamba, ndo wenye serikali. Wanatakiwa wathibitishe kuwa hawakuzitumia kwenye uchaguzi.

Hao wenye magamba, hawawezi kushinda bila ufisadi, What a political party, shameeeee on you all....

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanahangaika kujaza form za mikopo, why Mikopo Tanzania? Kwa nini wanafunzi mikopo, ajira iko wapi afterall???

Hao vigogo na mawaziri walisoma bure, leo wanafuja billion 48 ....aibu..

Wanafunzi wa vyuo vikuu wangesoma bure... Hey University students shout please... Wanafunzi Vyuo vikuu piga keleleee...
Wanafunzi wa vyuo vikuu ndo vijana ambao wataiweka Tanzania pazuri kesho.. Hata mikopo yenyewe inatolewa kwa mafungu, ubaguzi...

Wanafunzi secondary wanafeli, kisa hakuna vifaa vya kufundishia na walimu hakuna hey watanzania piga keleleee...

Watu wanakimbia fani ya ualimu, kisa mshahara kidogo... Walimu walipwe sawa na TRA ili watu wakimbilie ualimu.

Tena inatakiwa walimu walipwe vizuri kuliko TRA ili walimu waliofaulu vizuri masomo wakafundishe ili kuongeza ufaulu..

Hospitali hazina dawa....

Mikataba feki, madini yachukuliwa kwa ndege ---10%

hey Watanzania tupige keleleeee
Gamba linginekubwa ni usanii ambao mukama na nape wanaelekea kuanza kuendeleza!!!!! Shame upon you!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom