Umesema jamaa in mratibunikasema hakuna waratibu elimu Tanzania nzima ila wapo Maafisa Elimu Kata kulingana na Sera mpya ya Elimu,hapo ndipo ulipo ushamba wako mkuu
Nikimtizama Kama mtu makini na mwadilifu saana kwa vijana,atakuwa msaada mkubwa ,msomi mwenye uchu wa kuona vijana pasipokujali rika wanafanikiwa,
Kati ya vitu mtakavojuta iramba ni kukubali wasanii kuliongeza hilo jimbo,
Kitila anaamini ktk hofu na huruma ,bado hajaharibiwa n siasa za...
Kwakweli hakuna mgombea mwenyw nguvu iramba kama Prof,hali ya Mqigulu imekuwa tete mmno hasa baada yankuonekana dhahiri anautaka urais na kuvunja kanuni za ccm,Anashirikiana na familia mmoja kubwa na wafanyabiashara akiamini anaweza kuwa Raid jambo ambalo kamwe haliwezi kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.