Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Mleta mada kama anauma na kupuliza, Mara umuunge Mwingulu, Mara Prof Kitila, umesimama wapi?
Hapana. Mie nakula pilau kwa cost zangu na simpigii debe Dkt. Mwigulu!Yaani kualika na Mwigulu kwenda kula wali bure tayari umeanza kumfanyia kampeni hapa? Umejuaje Mzee Mangula katumwa na jiwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Sio vizuri kwa watu wazima na akili zao kuwatishia nyau!.Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Mkuu Paskali - a good analyst always, lkn tu naona kama vile na wewe unampigia debe Prof. Kitila. Mie nakuhakikishia sipo kwa yeyote kati ya hao ila naelezea tu uhalisia wa mambo ninavyoona yanaenda. Halafu kumbka Paskali kuwa humu JF huwa ni sehemu ya kufunguka sasa kama Dkt Mwigulu kuna kitu alifanya atumbuliwe unatakiwa uweke wazi hapa sio kufukia fukia!Sio vizuri kwa watu wazima na akili zao kuwatishia nyau!.
Lengo la uongozi ni utumishi wa umma, na sio kutafuta ulaji kama unavyotaka kupotosha kwa kumpaka paka siagi Prof. Kitila kwa mgongo wa chupa.
Mwigulu amehudumu vya kutosha Iramba, ameifanyia nini?. Kama kuna cha maana alichofanya, achukue tuu fomu, track record yake itamrudisha, lakini kama hakuna, apishe tuu njia viongozi ma strategists na watenda kazi waingie sio kutafuta ulaji bali kwenda kumsaidia Magufuli kwa karibu zaidi at policy levels.
Laiti ungelikijua kilichomfanya Mwigulu atumbuliwe usinge yasema haya uliyoyasema humu!.
Prof. Kitila just go go go...
P
Nonsense,take it,Prof ndie mbunge na sooner utaona hilosafiiiiNajua hilo ila pia nionavyo wamesoma mazingira kuwa Dk. Mwigulu bado ana nguvu sana kiasi kwamba wakimbadili inaweza ikasababisha matokeao kinyume na CCM. Ni bora kuendelea kumpa Dk.
Mwigulu mwenye wafuasi wengi zaidi kuzidi Prof. Kitila ambaye ni kama amepigwa PIN - hawezi kufurukuta kwa kuwa tayari kishapata fadhila za Mkuu na kilichobaki kwake ni kuhakikishiwa nafasi yake. Dkt.
kwa Kampeni ambazo ameshazifanya Dkt. Mwigulu ni kubwa sana kuliko ilivyotarajiwa na hata inteligensia ya Chama imeshaliona hilo. Kinachoweza kufanyika labda ni Mtu mwingine ajitokeze ampiku Dkt. Mwigulu kwa hoja na aoneshe mapungufu yake kwa ushahidi, mfano kuanza kufanya Kampeni mapema, ili huyo mtu mwingine (Sio Prof. Kitila) aonekane amepita kwa nguvu yake na apate wafuasi wengi hapo Utimu Mwigulu na Kitila utakuwa umetokomea kifo cha kawaida.
Isipofanyika hivyo basi Jimbo hili Mwaka huu panachimbika nakuambia.
Sio vizuri kwa watu wazima na akili zao kuwatishia nyau!.
Lengo la uongozi ni utumishi wa umma, na sio kutafuta ulaji kama unavyotaka kupotosha kwa kumpaka paka siagi Prof. Kitila kwa mgongo wa chupa.
Mwigulu amehudumu vya kutosha Iramba, ameifanyia nini?. Kama kuna cha maana alichofanya, achukue tuu fomu, track record yake itamrudisha, lakini kama hakuna, apishe tuu njia viongozi ma strategists na watenda kazi waingie sio kutafuta ulaji bali kwenda kumsaidia Magufuli kwa karibu zaidi at policy levels.
Laiti ungelikijua kilichomfanya Mwigulu atumbuliwe usinge yasema haya uliyoyasema humu!.
Prof. Kitila just go go go...
P
Huyu njaa tupo anapenda madaraka sana hawezi kwenda kupigania haki upinzani huyu ni wale wafanyabiashara wa siasaAmekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
Nipo Iramba mwaka wa 13 nakuhakikishia Asilimia 100% Prof ndie mbunge ajae,utaona hilo
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Prof ndie Mbunge ajae ,meza au tema ,hakuna chochote Mwigulu ametufanyia wana iramba,chohoteAmekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Unajuaje kuwa Chama Tawala hawatakuwa wao ndiyo upinzani baada ya Uchaguzi wa Mwaka huuHuyu njaa tupo anapenda madaraka sana hawezi kwenda kupigania haki upinzani huyu ni wale wafanyabiashara wa siasa
Wanatafuta support ya kuvuka 2020Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Nadhani wewe ni kijana labda ndo umemaliza chuo flani wala hujawahi ajiriwa. Ka uprofesa ungekuwa ni dili nadhani wengi ka kina Sarungi, Bashiru na wengine wengi tu kama Lipumba wsingelogana ili kubaki siasani. Usiombe kuionja sukari ya siasa. Haipungui utamu bali huongezeka utamu kila sikuKitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Nadhani wewe ni kijana labda ndo umemaliza chuo flani wala hujawahi ajiriwa. Ka uprofesa ungekuwa ni dili nadhani wengi ka kina Sarungi, Bashiru na wengine wengi tu kama Lipumba wsingelogana ili kubaki siasani. Usiombe kuionja sukari ya siasa. Haipungui utamu bali huongezeka utamu kila siku.Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.