Recent content by ilisha juniour

  1. I

    Nawapenda watusi, wana akili nyingi sana,wamebarikiwa

    Umesikia habari zao au umewajua kwa kuishi nao??,,fanya utafiti vizuri mkuu,,mtafute stamina au ay wakupe uzoefu ndio utawaelewa vizuri kama wale ni watu wa aina gani,,[emoji23][emoji23][emoji1787]
  2. I

    Mlio kwenye ndoa: Hivi kuna ratiba ya kupeana unyumba?

    Kama umeoa jadili hili na mkeo na majibu atakayokupa iwe Siri yako na mkeo,,hilo swala halinaga fomula maalumu!!!
  3. I

    Katibu wa CWT adai ana Mkataba wa Ajira ya Kudumu katika Chama cha Walimu Tanzania

    Kwa akili ya kawaida kabisa ya mtanzania mpiga kura wa kawaida kunaonekana hapo CWT pana asali tamu sana ambayo ukiilamba mara moja tu basi hubanduki,,,alikataa teuzi January,September aliambiwa arudi kazini akakataa,,wamemfukuza kazini kwa kufata sheria ya utumishi wa umma Bado anasisitiza CWT...
  4. I

    Wafahamu watu 20 Matajiri zaidi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam

    Hizo dollar wanazipataje??,,watupe elimu na sisi makabila mengine🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  5. I

    Kiwanja kinauzwa

    Haijatajwa bei hapo tafadhari!!!
  6. I

    Kiwanja kinauzwa

    Kipo ubungo riverside eneo la makoka, kipo karibu na barabara kubwa na kimejengwa mabanda mawili ya wapangaji yenye vyumba viwili viwili,,kinafaa pia kujenga flemu za biashara. Mwenye uhitaji DM tafadhari kwa maelekezo zaidi
  7. I

    Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

    Ukikutana na msomi wanakuwaga smart sana ila wanapenda sana starehe, pesa kutolewa maji na ukiwa na uhusiano nao ukiyumba kipesa unachapiwa njenje. Pia ni wajeuri maana kwao zipo sheria nyingi zinawalinda kwaio anao uwezo wa kukufanyia ungese na usimfanye kitu chochote kile. Cha ziada wako na...
  8. I

    Adhabu gani inamfaa mwanamke huyu?

    Sasa kwa mazingira kama hayo hata ukaongea then ukanyamaza kimya inategemea mwanamke bado atakuwa na amani???,,maana kama ukimpiga utaleta matatizo tena ya jinai,,kwaio dawa kubwa ni kuwa kimya,,na si wote wanaweza kufikiria kukuua wengine huwa wanajiadhibu wenyewe kwa kujipa talaka unakuta...
  9. I

    Vijana wenzangu tutafute hela, Rafiki yangu kaandikiwa SMS hii na mpenzi wake

    Asili ya mwanadamu ni kwamba mwanaume lazima ale kwa jasho na mwanamke lazima azae kwa uchungu that is nature,,jukumu la kutafuta ni letu sisi wanaume kwaio hiyo ndo ukweli na utabaki kuwa hivyo,,,bila pesa kweli uanamume wetu unakuwa shakani na bila kuzaa uanamke hauna maaana
  10. I

    Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

    Elimu ni muhimu sana katika maisha ya binadamu ila sio chanzo pekee cha mafanikio,,
  11. I

    Lusinde anapaswa pia kufafanua kuhusu Mayanga Construction

    Mmiliki wa mayanga construction anajulikana na ni msukuma mmoja wa mwanza anaitwa Jidula,,huyu kaoa familia moja na marehemu mwenda zake kwaio alipewa tenda nyingi kwa sababu ya undugu huu alikuwa nao na mwenda zake na Sio kweli kwamba kampuni ilikuwa ya mwenda zake hapo bwana kabwe alipotosha...
  12. I

    Siheshimiwi mtaani kwa sababu sijaoa

    Mjomba tafuta pesa,,heshima ya kwanza dunia hii kwa sasa ni kuwa na pesa nyingi sio kuoa au kuolewa,,jaribu tu uoe hapo halafu ukawa huna pesa dharau utayopata itakuumiza utaona mara mia ya hii unayopata sasa hivi,,,na ile kuwa na pesa tu kuna wanawake watakuja wengi mpaka utawakataa
  13. I

    The truth behind Muammar Gaddafi death

    Hata tukaujua ukweli utatusaidia nini basi??,,apumzike tu kwa amani na sisi tusubirie siku zetu zifike
  14. I

    Kuna uhusiano gani kati ya mke na elimu?

    Uko na degree lakini naona haijakusaidia,,,maisha ya mtaani na akili za kusoma darasani ni vitu viwili tofauti lakini vinaweza kuwa vinategemeana.ukweli ni huu''wapo wanawake wana elimu lakini hawafai kuwa wake bora na wapo pia wanawake wasio na elimu ila ni wake bora,,pia wapo wasio na elimu...
Back
Top Bottom