I've always believed that his life was terminated by some imperialist agents in Tanzania.I guess there won't be a lie behind the John's death in future.
Tweet za kigogo baada ya tukio la ule moshi ruangwa na kutoonekana kwa John hadharani kwa siku kadhaa kabla ya ile hafla ya kuapishwa kwa kiongozi fulani kunathibitisha wasiwasi wangu.
kasome budapest memorandum uone siraha za nyuklia Kati ya Russia na ukraine nan alikua nazo nyingi na za ukraine zikienda wap! Russia ni sawa na north korea tu show off people Wana my overestimate Sana Russia kumbuka vita ilivo anza had USA aka mwambia rais wa ukraine akimbie watampa hifadhi Mana walijua wiki haiishi washa itwa ukraine kwa mjibu wao. Wa Russia plus overestimated Russia lkn see the reality ilivo sasa it's quite different from what was expected had wenyewe wame amua kubadili dhumun la vita ko bro in short no nation can be compared with USA militarily