Recent content by ILISACHA

  1. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Kijana wa miaka 29 auawa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu, mume akamatwa

    Mchonganishi ye yupo huru kwa raha zake
  2. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Yanga, mnapotaka twende ndiyo tunapataka

    Yote hayo unayafaham bado upo kimya tu, lengo lako kuwa kimya ni nini, huoni au hujui kunyamazia jambo ni kulifanya kuwa halali au kuifanya mizizi izidi kujikita au kwenda chini zaidi? Na unaamini hadi kuandika hayo yote hujafukua makaburi kama ulivyodai? Kwamba unavizidi vikao vyote vya simba...
  3. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Gaidi lamvamia mzee na kumuua kwa kumchoma visu shingoni

    Duh 🙄 hii dini hii hamna Gaidi yuko kwenye swaum ila ndo hivyo
  4. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

    Nina uhakika hata jalada lake hawajaliandika kosa lake ni nini? Hii ndo Tanzania kujengea wanachi wake hofu serikali inaweza sana! Mwenye ajira anamuonea wivu asiye na ajira hadi anaamua kumkata 😁
  5. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

    May be if we tell people the brain is an app …………….
  6. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Tupostie Kitu/bidhaa/chombo/mali Unayouza upate wateja leo

    Nauza Zebaki (Mercury)
  7. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Lipi ni sawa, kumfukuza kijana wako hapo kwako ili akaanze maisha yake au kumwacha azeekee hapo kwako?

    Home bana mambo hayakuwa mazuri kabisa ko sikufukuzwa wala kuandaliwa cho chote zaidi ya kujiongoza mwenyewe nikaondoka home. Ila leo hii alhamdulilah mambo yako sawa. Bora nimuandae kuliko nimtimue. Ila kitu sitaki ni akae bila kufanya kazi na kaanza kunielewa kwa kujitunzia akiba ila kingine...
  8. ILISACHA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

    Imagine mama ndo anashauri hivyo! Wanawake hawana akili Ndo maana wewe na mama’ako ni malaya!
  9. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

    Kwa maoni yako huyo Wasira ana ushahidi wa hayo anayoyasema? Au mnataka kulifanya jeshi la polisi lionekane halijui wajibu wake? Mimi siamini kama kuna vijana wanachukuliwa tu bila malipo kisa wakaandamane mkoa mwingine Hiyo kazi ya kuchukua vijana kwingine ni ya ccm tu kwa vyama vingine ni...
  10. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM wanatengeneza "elite clique"?

  11. ILISACHA

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka matokeo ya mechi gani yaliyokuachia kumbukumbu isiyofutika kichwani?

    Duh 🙄 hii mechi sijawahi isahau kama kuna dhambi ilitendwa na Yanga ni hii siku umri umeenda ila haifutiki akilini mwangu! Siku ambayo mama yenu ilibaki hivi akutane na talaka
Back
Top Bottom