Gaidi lamvamia mzee na kumuua kwa kumchoma visu shingoni

Echolima1

JF-Expert Member
Nov 2, 2019
1,863
1,893
Wakuu,

Polisi wamesema shambulio hilo lilitokea katika kituo cha basi na treni siku ya Jumatatu, ambapo "mshukiwa alidungwa risasi na mlinzi wa usalama na raia aliyekuwepo eneo hilo."

Taarifa ya Magen David Adom imethibitisha kifo cha mwanaume wa takriban miaka 70 na kujeruhiwa kwa watu wanne, wakiwemo mwanaume na mwanamke wa miaka 30 na kijana wa miaka 15, ambaye yuko katika hali mbaya.

Mshambuliaji ameripotiwa kuwa raia wa Israel kutoka mji wa Waarabu wa Druze aliyeingia nchini Mei, huku uchunguzi ukiendelea.

Kwa mujibu wa Al Jazeera, aliyeuawa alikuwa Mpalestina raia wa Israel kutoka kijiji cha kaskazini. Wajumbe wa jamii ya Druze wamekemea shambulio hilo, ingawa bado haijulikani lilichochewa na nini.

Wanasiasa kadhaa wamelihusisha tukio hilo na uongozi wa Netanyahu, huku baadhi ya wanachama wa serikali ya mrengo wa kulia wakihimiza kuongezwa kwa silaha miongoni mwa walowezi na raia wa Israel kutokana na mashambulizi yanayoongezeka.


===================================================

A man has been killed and four others wounded in a stabbing attack in the northern Israeli city of Haifa, officials said.

Israeli police said the attack took place at a bus and train station on Monday and that “a security guard and a civilian at the scene” had “neutralised” the suspected assailant.

“Paramedics and EMTs have pronounced the death of a man around 70 years old and are providing medical treatment to and evacuating four injured individuals,” Israel’s Magen David Adom emergency service said.

It added that a man and a woman, both aged about 30 years, as well as a 15-year-old boy, were seriously injured in the attack.

Police said that the assailant was an Israeli citizen from a nearby Arab Druze town who had returned from abroad in May and that the attack was still being investigated.

Al Jazeera’s Hamdah Salhut, reporting from Jordan’s capital Amman, said that the man who had been killed was a Palestinian citizen of Israel from a village in the north.

“Members of the Druze community have condemned this attack,” said Salhut, adding that the motive was “unclear”. Meanwhile, the 15-year-old who was wounded in the attack was said to be “in pretty severe condition” at an intensive care unit in a hospital near Haifa."

“There have been politicians who’ve been speaking out, saying that this is a direct response to Benjamin Netanyahu’s leadership,” said Salhut. “Remember that you also had members of the far-right government … who were calling to arm more Israeli settlers and citizens as a result of the rising number of attacks.”

Source: Al Jazeera
 
Saikolojia ya dini ilivyo aina tofauti na kiongozi. Ukiwa kichaa ukachanganya haya mfano dini au uwongozi mwesho wa siku ndo haya
IMG_0747.jpeg
 
Baada ya magaidi wa Hamas kuelemewa kwenye uwanja wa vita huko Gaza sasa hivi wanatumia magaidi wenzao kuvamia wazee na kuwadunga visu, pichani Gaidi anaonekana kumvamia mzee huyo kwa nyuma na kumdunga visu shingoni kisha na yeye aliuwawa na was Amalia waliokuwa karibu naye. Hamas ni Magaidi wa nasta hili kupigwa bila huruma yoyote

View attachment 3258699
Vita ni vita, huyo akiuwawa atasubiri sana kupata bikira zake, labda kama Mnyazi kesha pata materia na mega factory ya kufanya mass production.
 
Kwa hiyo kwa akili yako kiduchu umeamua kutafuta ushahidi? Hao watu huwezi kuwasafisha kwa kutafuta ushahidi!!
Wewe mwenye akili nyingi unashindwaje kujibu swali nililo kuuliza???

Mbona muuaji ameua kama muuaji asiye na uzoefu? Yan hajui sehem ya kumchoma mara moja na mtu akafariki?

Haya nakuongezea swali tena.. inakuaje kwenye video Aliye chomwa kisu alijua anafuatwa yeye na kuanza kujihami kwa kukimbilia upande wa kuingilia?? Kwann mwenye kisu hajamfuata mwenye siraha??

Akili zenu hata yesu mwenyewe atazishangaa huko motoni 😀
 
Wewe mwenye akili nyingi unashindwaje kujibu swali nililo kuuliza???

Mbona muuaji ameua kama muuaji asiye na uzoefu? Yan hajui sehem ya kumchoma mara moja na mtu akafariki?

Haya nakuongezea swali tena.. inakuaje kwenye video Aliye chomwa kisu alijua anafuatwa yeye na kuanza kujihami kwa kukimbilia upande wa kuingilia?? Kwann mwenye kisu hajamfuata mwenye siraha??

Akili zenu hata yesu mwenyewe atazishangaa huko motoni 😀
Wafuga Midevu na Majini akili zenu mnazijua nyie wenyewe? Eti Unauliza kwa nini Gaidi hakumfuata mwenye silaha na kamfuata Mzee ambaye hakuna na silaha!!!
 
Wafuga Midevu na Majini akili zenu mnazijua nyie wenyewe? Eti Unauliza kwa nini Gaidi hakumfuata mwenye silaha na kamfuata Mzee ambaye hakuna na silaha!!!
Jibu maswali mbona huna maelezo yan Upo upo tu.. jamiiforum iliangalie hili swala yan mwezi ukiandama kila chizi anapost ujinga wake bila ya kuwa na maelezo ya kujitosheleza..

Haya tupe source ya hyo vdeo tukaisome wenyewe pia huna??

HILI JAMAA KAMA CHOKO
 
Ukristo kweli sio dini kabisa ndo ameamua kumuua mwenzio hvyo yesu Alaaniwe
Wakristo hawana historia ya kuua ua watu, usidanganye. Tabia ya kuua ua watu inajulikana ni ya dini yao, mtume wa dini hiyo ndio mwanzilishi wa ubakaji na ndio mwanzilishi wa violence, hatakagi amani popote pale. Lakini ndio mtume muongo kuliko wote, I think baada ya shetani kwa uongo, anaefata ni yeye
 
Jibu maswali mbona huna maelezo yan Upo upo tu.. jamiiforum iliangalie hili swala yan mwezi ukiandama kila chizi anapost ujinga wake bila ya kuwa na maelezo ya kujitosheleza..

Haya tupe source ya hyo vdeo tukaisome wenyewe pia huna??

HILI JAMAA KAMA CHOKO
Hapo hakuna swali kabisa hapo kuna UHARO wako tu!! Wewe ulitaka maelezo ya kujitoshereza kutoka kwa Magaidi wa Hamas? Au ulitaka maelezo ya kujitosheleza kutoka kwa Wafuga Midevu na Majini wenzako ndiyo uelewe? Au unafikiri mimi ndiye niliyeitengeneza hiyo video? Au ndiyo sasa unafanya hiyo TAqiyya kusema uongo kuitetea dini yako? Domo lako limejaa matusi huku ukiwadanganya wenzako umefunga!! Ujinga mtupu!!!
 

Attachments

  • IMG_1160.jpeg
    IMG_1160.jpeg
    72.2 KB · Views: 2
Wakristo hawana historia ya kuua ua watu, usidanganye. Tabia ya kuua ua watu inajulikana ni ya dini yao, mtume wa dini hiyo ndio mwanzilishi wa ubalaji na ndio mwanzilishi wa violence, hatakagi amani popote pale. Lakini ndio mtume muongo kuliko wote, I think baada ya shetani kwa uongo, anaefata ni yeye
Kuna kitabu chenye uongo zaidi ya Bibilia?? Kitabu kilicho andikwa na raia kama wewe kitabu chenye historia na upotevu wa Hali ya juu??

Nakupa historia sasa yesu ni binadam kama mimi na wewe alizaliwa, alitailiwa, alikunya, alikojoa, kama wewe na historia inamjua na kitabu chochote kinacho pindisha historia hiko kitabu ni feki

Biblia ni utapeli wa madhabahuni
 
Hapo hakuna swali kabisa hapo kuna UHARO wako tu!! Wewe ulitaka maelezo ya kujitoshereza kutoka kwa Magaidi wa Hamas? Au ulitaka maelezo ya kujitosheleza kutoka kwa Wafuga Midevu na Majini wenzako ndiyo uelewe? Au unafikiri mimi ndiye niliyeitengeneza hiyo video? Au ndiyo sasa unafanya hiyo TAqiyya kusema uongo kuitetea dini yako? Domo lako limejaa matusi huku ukiwadanganya wenzako umefunga!! Ujinga mtupu!!!
Jibu swali wewe shoga unazungusha kitumbua tu hapo
 
Back
Top Bottom