Hilo gazeti we huoni kama linachochea udini isipokuwa lipumba tu usitetee kitu ambacho hukijui kama we sio msomaji wa gazet hili anza kulifuatilia utajua bila kuambiwa,huoni waraka zinazotolewa
hata siku moja huwezi mfananisha PONDA na MTIKILA maana mtikila ni mbwa mwitu anayehaha kutafuta kila sababu ya uchochezi haya rukwa kunani na sio kwamba alishinda kesi na akaachiwa ila mfumo ulimfever.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.