Nadhani Arteta na timu yake watakuwa wamepata somo zuri juu ya nidhamu msimu huu...Marefa wamekuwa wakali sana kwenye game za Arsenal......they gave cheap yellow cards hata kwa tukio ambalo wapinzani wakifanya hawaadhibiwi.....mfano Leo Doku kapiga mpira baada ya filimbi lkn Oliver...
Ndio.....njoo mazoezini we mla chips nikutie bonge la buti uende mahakamani hakika nitafungwa kwa rafu mbaya.......hiki kizazi kina watoto wakike walio na jinsia ya kiume
Usiwapangie watu furaha Yao mkuu.......let them celebrate...that is what they train and play for!......kwanini wasipongezane kwa kazi nzuri ya kumlinda kipa wao aondeke na clean sheet?........yaan hapo wametimiza jukumu lao kama forward anapofunga TU....wewe unaumia Nini sasa........umeangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.