Hello Dawasa
Naripot uvujaji wa maji barabarani.
Eneo : Sinza D Mtaa wa Kitumbi karibu na uwanja wa magoli matatu.
Naomba ishughulikiwe ksb ni tatizo endelevu
Asante.
Habari dawasa Kuna bomba limepasuka
eneo la Sinza D MAGOLI MATATU (Uwanja wa mpira) naona tatizo hili limekuwa sugu kiasi kupelekea kupotea kwa maji mengi ambao yanaingizia hasara mamlaka
ushauri : bomba linakatiza barabara kwahiyo joint zihamishwe kwa maana ya kwamba ipelekwe kwenye position...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.