Recent content by Ihuti

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kupunguza uzito kwa dawa

    Kilo 10 mpaka 15 kwa mwezi ni kujitafutia matatizo ndugu. Nakushauri: Tumia zaidi matunda, mbogamboga na protein (nyama, samaki, maharage, njegere) Kula sio lazima ule mara tatu. Fanya mifungo kama intermittent fasting yaani ukila usiku subiri masaa 16 hadi 18 ndio ule tena. Mfano ukila usiku...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

    Shida kubwa haswa hapa ni kufundishwa na walimu ambao hawakuwa na maarifa sahihi kuhusu evolution. Binadamu hajawahi kuwa nyani, binadamu na nyani ni species tofauti kabisa. Ila kibaiolojia wana sifa zinazofanana na evolutionary they have the same ancenstors. Ni sawa na mtu aseme ng'ombe...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Tunawezaje kuwalinda watoto wetu dhidi ya maudhui yasiyofaa kwenye TV?

    Kabisa. Nyumba bila TV inawezekana kabisa
  4. I

    JamiiForums Tanzania Tunawezaje kuwalinda watoto wetu dhidi ya maudhui yasiyofaa kwenye TV?

    Unaweza kumzuia, akitoka shule ni homework, kucheza mpira anarudi nyumbani. Na mtoto kizazi hiki unamruhusu aende kwa jirani kweli!!!
  5. I

    JamiiForums Tanzania Tunawezaje kuwalinda watoto wetu dhidi ya maudhui yasiyofaa kwenye TV?

    Sio lazima pia kuwa na TV, habari zote unazipata kwa simu yako. Hela ya TV unaweza nunua kinanda, guitar, vitabu, computer za watoto n.k.
  6. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kwa mwanaume kuwa na mke mmoja? Kwanini wanaume wengi hawariziki na mwanamke mmoja?

    Ukiona unataka kuongeza mke mwingine ujue una muda mwingi wa kupoteza. Ukiwa busy na shughuli zako hata huyo mmoja unakosa nae muda, bado watoto, familia na marafiki. Jifunze kutoka Japan
  7. I

    JamiiForums Tanzania Egypt: Hii siyo sawa kuwafanyia ndugu zenu. Kuna nini Kinaendelea hapa?

    Inachokifanya Egypt ni tahadhari ya athari mbaya zinazoweza kutokea kwa kuchukua watu wengi waliotoka kwenye machafuko ya kivita. Kumbuka yaliyotokea Lebanon na madhara yake hadi sasa, yaliyotokea Jordan na mataifa mengine mengi ulaya Kuchukua wakimbizi wengi nchini kwako ni sawa na kuanzisha...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

    Hali ni tete sana katika shule za kayumba. Niliwahi kumfundisha mwanafunzi kidato cha kwanza asiyejua kuzidisha 12×12, anasoma kwa tabu sana, kiingereza ndio zero kabisa. Lakini ukiangalia private mwanangu yuko middle class (chekechea) anaweza kusoma na kuongea kingereza cha kitoto. Wa darasa...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

    Ongeza na "Heart of the Hunter"
  10. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kina mama wengi chanzo cha watoto kutowathamini kina baba, Hawatimizi jukumu lao la msingi kuwakumbusha watoto baba ni kiongozi na nahodha wa family

    Wanaume tusijisahaulishe, mbwa anamkumbuka anayemlisha sio anayenunua chakula. Men spend time with your kids. Sio ukitokea tu watoto wote wanakimbia. Cheka na watoto wako, acha wakufurahie, kula nao chakula cha jioni. Ukiweza toka nao out waletee watoto wako zawadi ikitoka kazini hata pipi za...
  11. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilibahatika sikupitia njia hii ila najua ni njia inayowaumiza sana watoto kisaikolojia na kuwaacha na chuki kwa wazazi

    Mwanaume oa mwanamke unayempenda na anayekuheshimu. Kuna ndoa nyingi ambazo hawapigani. Binafsi sikuwahi ona mzee wangu kumkejeli wala kumtukana au kumshushia heshima mama na huko kumpiga ndo kabisa sijawahi sikia
  12. I

    JamiiForums Tanzania Watoto waliozaliwa katika familia maskini wanapata taabu sana. Mzazi maskini hasira zake anamalizia kwa watoto

    Umasikini ni kama njaa, vyote huleta hasira
  13. I

    JamiiForums Tanzania Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

    Tazama, saa yaja ambayo waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli. Lakini pia Mungu haishi kwenye majumba yaliyojengwa na wanadamu.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

    Tukumbuke huyo ni mjerumani, aliwahi kupigana na dunia nzima mara mbili ndani ya nusu karne, na mara ya pili nusura ashinde. Kuna watu wanajichanganya vibaya
Back
Top Bottom