Kama ilivyo kawaida, Watoto wengi wanakuwa upande wa mama kwajili ya huruma aliyoumbiwa kwa asili, Kitu hiki kimekuwa kikiwapa wanawake nguvu na influence kubwa sana juu ya watoto, Lakini wanasahau kwa maksudi kabisa jukumu lao muhimu la kuwakumbusha watoto "Muwe karibu yangu na mdeke mnavyotaka lakini tupo chini ya uongozi, Dira na juhudi za baba yenu".
Ni maneno mazito sana kwa mwanaume kuyatamka kwa watoto wake kwasababu kwa asili mdomo wa mwanaume ni mlango mgumu kufunguka manyanyaso ya utafutaji wa rizki ya kutunza familia hata kwenye kuonyesha mapenzi ya familia wao humtumia zaidi mama na watoto wanajua ni mama kwasababu mama yupo kimya.
Ni kwa maksudi kabisa hiki kitu wanakisahau, Heshima ya baba inaanza kupungua taratibu kadri watoto wanavyozidi kuwa wakubwa, Miwshowe baba huonekana kama mtu ambaye uwepo wake si chochote
Ni maneno mazito sana kwa mwanaume kuyatamka kwa watoto wake kwasababu kwa asili mdomo wa mwanaume ni mlango mgumu kufunguka manyanyaso ya utafutaji wa rizki ya kutunza familia hata kwenye kuonyesha mapenzi ya familia wao humtumia zaidi mama na watoto wanajua ni mama kwasababu mama yupo kimya.
Ni kwa maksudi kabisa hiki kitu wanakisahau, Heshima ya baba inaanza kupungua taratibu kadri watoto wanavyozidi kuwa wakubwa, Miwshowe baba huonekana kama mtu ambaye uwepo wake si chochote