Jaman nilikuwa nasoma kijalada fulan vile kinaitwa OPERATION SANGARA stori zake nilizipenda lakin zivyoisha mmmmmh! Lakin wakati natafakari matunda ya hiyo operation sangara nikakuta heading inaitwa UKUTA najiuliza huu ukuta niwaina gani? Tukiwachoka hawa jamaa na vijimaneno vyao sijui...
Utajili sio hela mfukon ama bank. Angalia miladi na biashara zake hapo ndo utajua awezo wake kiuchumi kuwa ataweza kufanya hayo? Pia unaweza ukaangalia uwekezaji wake hapa nchin ukawa mdogo na huko nje ya nchi ndo kuna Mali zake mingi tu.
Kweli Lisu ni mtu mwenye uelewa na sio mnafiki kama CDM.mim nadhani aliingia Cdm kimakosa atafute mahali sahihi pakufanyia kazi coz hawa cdm hawana malengo na maendeleo ya nchi.Lisu no binge LA MTU ILA TANZANIA IMESHINDWA KUMTUMIA.
Mbowe using'ang'anie Dar! Pia kumbuka tokea enzi za mwalimu mipango na mikakati ya kuhamia Dom ilikuwepo na ilikuwa inapangwa kama mipango imekamilika mnasubili nin kuhama. Dar?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.