Recent content by Ignas mgaya

  1. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    😂😂 hauko dar
  2. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    Sio kweli mana haiwak mda wote
  3. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    Unit maximum 2-3 ila kama utawasha bla kuizima na ubarid utaset wa kawaida mfano 26 kuendelea
  4. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    Pole Shida itakua kwako au umeme Ac hasa Lg dual inverter hazili umeme Usiku mzma inaweza pga kazi isimalze unit 2 mana inawaka mda ikihtajka kupoza tu ila room ikipoa inajzma inabak fen pekeake kuzd kusambaza hewa ndan Shida itakua n hivi 1. Unawasha Ac alaf unakaa unasoma umeme kama...
  5. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    nmesafisha negative zinazounga kwenye body, taa zote hzo mbili zmetoka na gari imewaka. Lakini baada ya siku mbili imerudi taa ya oil tu ukiweka switch on hata kabla hujawasha gari taa inakuja alafu gari haiwaki Huo ndo mtihani ulobaki
  6. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Boss kwema Shida nini hapa gari haiwaki inaleta hizi taa hata usipoweka funguo Toyota ist 2nz
  7. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari

    Habari zenu, Wakuu shida ni nini hapo mana gari haliwaki hizo taa zinatokea ukitaka kuwasha gari (taa ya betri na taa ya oili)
  8. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Toyota ist 2003 ncp60 Taa ya mbele kushoto sio busta na nyuma kulia bei gani?
  9. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Lipa na M-Pesa ni upuuzi mtupu, hongereni sana Tigo

    🤣🤣🤣
  10. Ignas mgaya

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina diploma ya civil and highway engineering.

    Njoo nikuajili Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom