Siasa ni utajiri unaotokana na jinsi gani unavyopangilia maneno yako vizuri, natamani sana niwe mwanasiasa ila ngoja nikomae na ujasiriamali wangu kwanza.
Ngoja tuone hii game itaisha kwa matokeo gani ,either win ,loose,Draw ndio tunachosubiri but kupoteza kwa upande wetu ni 70% na 30% ni sare ila baada ya hili kuisha watabadili njia ya jinsi ya kutuibia.Njia rahisi ni kwa wao kuweka serikali madarakani ambayo itakua ipo kulinda maslahi yao na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.