Leo nimeona maajabu kwa jiografia ya zanzibar kuwa ndogo na matokeo kutangazwa baada ya masaa 18 baada kumaliza kupiga kura. Uchaguzi wa awali hadi siku tatu matokeo yalikuwa bado yanatangazwa. Hongera Zanzibar kwa kufanya maamuzi.
Soka la bongo sasa linaelekea kusikoeleweka baada ya kuporomoka nafasi ishirini kutoka 107 hadi 127.
The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table - FIFA.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.