Wewe ukiona mabango ya tigo, vodacom, airtel, hotels, mabenk, ccm etc ndio unaona maendereo ya current president sio? Unashindwa kujua kulikua na ATC, NMC,TRC, TFA etc vyote mali ya Mwalim na leo havipo tena. Unajua pele kiwanda cha unga cha Bakhresa kulikua ni NMC leo iko wapi??? Acha bana...