Ndugu wana JF hadi sasa sijapata sababu maarum zilizo fanya majirani zetu hasa wale waliopo katika jumuia ya Afrika Mashariki wote kushindwa kuhudhulia Maazimisho ya Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.
Ndugu wana JF hadi sasa sijapata sababu maarum zilizo fanya majirani zetu hasa wale waliopo katika jumuia ya Afrika Mashariki wote kushindwa kuhudhulia Maazimisho ya Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.
aulizwe yule mh wa kule mtama atakuwa kwenye position ya kulisemea hili
Mkuu, sababu maarum ni kuwa wanafahamu kuwa hata wasipokuja kwenye hizo sherehe hakuna watakachopoteza. Tanzania imeshapoteza hadhi yake kwenye jumuiya na wenzetu wameshaona kuwa hatuna influence yoyoteNdugu wana JF hadi sasa sijapata sababu maarum zilizo fanya majirani zetu hasa wale waliopo katika jumuia ya Afrika Mashariki wote kushindwa kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.